Napinga wazo la Muziki wa Singeli kusambazwa duniani

Na tutakapoupoeleka huko ndio tutaonekana shithole country kwelikweli
 
Mwendo wa kuzibuana mitaro
Hao wadada wakipimwa wote hawana marinda
Singeli inahamasisha san watu wafukuane mitaro

Ova
Huu mziki ni wa kijinga nashangaa Waziri kutamka kuupeleka huko duniani
 
Genre gani ya mziki isiyo na lugha mbaya? Singeli ni kelele tu nonetheless.
 
Dah nikisikilizaga Singeli lazimaa nisikitime kwa kweli,apa Proffessor majalala alibugi aisee,
Kwa maadali ya sasa naa baadae..
 
Dah nikisikilizaga Singeli lazimaa nisikitime kwa kweli,apa Proffessor majalala alibugi aisee,
Kwa maadali ya sasa naa baadae..
Kabugi sana,kama ndio wanatafuta kura kw staili hii hapana aisee
 
YouTube walinipa onto kabla ya kuangalia video
 

Attachments

  • IMG_20250306_212915.jpg
    144.9 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…