Napingana na Dunia nzima, Kenya inaangamia!

Napingana na Dunia nzima, Kenya inaangamia!

Kwa hiyo ww unaona hapo ni mzungu anaye ridhishwa?

Vipi kuhusu msanduku ya kura na karatasi zilizokwenda kutupwa?

Hivi na ww kama mwafrika ulivyo ona makinikia wanayashkilia kwann hukutoa ushauri huu kwasabb itaingiza taifa kwenye deni kubwa? Na pesa hizo zingekwenda kusupply dawa Hosp ?

Vipi kuhusu bombadia mbona hukushauri?

Vipi kuhusu Zanzibar mbona hukushauri?

Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nitag pliiz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa nimpuuzi kabisa huyu atakuwa ni M7 au PK najaribu kuwaza kwa sauti jinsi wao wanavyowaza watakuwa wanamkejeli kwa simu Uhuru Kenyata kwakumwambia angalia na usmart wenu kujifanya mnabadili katiba,katiba za afrika azibadilishwi ona sasa unaadhirika...nijambo la kusikitisha kwa kubeza kilichofanyika kenya ni kwa mar ya kwanza Afrika mwangwi unakuja katika mataifa yote afrika mjiandae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sifwati mkumbo, najua kinachowasumbua Waafrika wengi ni inferiority complex, Mwafrika anafanya jambo ili asifiwe na Muzungu na kamwe hafanyi kwa manufaa yake na watu wake, ukiangalia Waafrika wote wanashangilia Umafia uliofanywa na Mahakama ya Kenya kwa sababu wanataka kuprove kwa Muzungu kwamba nao pia ni Binadamu kwa kigezo cha Muzungu na Raila Odinga kwenye hotuba yake ni kama vile uamuzi huu ni kwa ajili ya kuprove kwa Muzungu kwamba sisi (Waafrika) hatuko wanavyotufikiria!

Kwangu mimi Katiba ya Kenya ni mzigo kwa nchi hiyo, fikiria wanakwenda kufanya Uchaguzi mwingine ndani ya Miezi 3, nani analipia hiyo gharama? Nchi ya Kenya hata chakula kwa watu wake ni shida kwa nini wasiwekeze hiyo fedha hata kwenye Kilimo? I mean matokeo hayatakuwa tofauti Wakikuyu 100% watampigia Uhuru Kenya, sasa kwa nini kupoteza fedha?
Ikumbukwe huyo Raila Odinga alisema ,,this time we will not go to court" na akaendelea kusema haiwezekani Matakwa ya Wakenya yaamuliwe na watu 7 akimasnisha Mahakama, lkn leo hii anasimama na kujigamba kwamba Mahakama ya Kenya imemuonyesha Muzungu kwamba inaweza kutoa haki kwa sababu tu imeamua alivyotaka yeye, vp khs sasa Mamilioni ya Wakenya waliomchagua Uhuru Kenya? Mbona wao wamenyimwa haki yao na watu 7 tu?

Isitoshe kwenye Nchi masikini kama Kenya haiwezekani kuwa na free and fair election kwa 100% ni lazima kutakuwa na matatizo tu, hata huo uchaguzi wa marudio kama Raila Odinga akishindwa na itatokea hivyo hatokubali atarudi Mahakamani tena na ushahidi mwingine ambao ni rahisi kuupata na kuita Uchaguzi mwingine tena, na Je watarudia chaguzi ngapi? Na nani atalipia hiyo gharama?

Of course kwa Muzungu ni win -win situation kwani anapata tenda za kusupply kila kitu kuanzia karatasi za kupigia kura mpaka computer!

Hivyo kwa maoni yangu sijaona chochote cha kufurahia wala kujifunza isipokuwa tu ni Blackman trying to prove his worthy to a Whiteman, hkn kingine, hata hotuba ya Raila Odinga baada ya Uamuzi wa Mahakama mlengwa hakuwa Mkenya wa Kibera bali ni International community aka Muzungu!

Fikiria nchi yote imesimama mwaka mzima kufanya uchaguzi usiokwisha, Nairobi stock exchange imesimama, sasa wanaanza Kampeni tena hivyo hkn kazi mpaka 2018, nani analipia hii gharama?

Kenya hali siyo shwari kama mnavyodhania, ndiyo Muzungu atasifu lkn kuna wimbi kubwa la tsunami linakuja upande wenu, Muzungu alitawala Afrika hakuruhusu hiyo Demokrasia mnayojaribu kumridhisha nayo na kulikuwa na sababu kwa nini hakuruhusu huu ujinga kwani maadamu watu bado ni masikini hata mahitaji ya lazima kama chakula hakuna huwezi kuwa na demokrasia, Muzungu anajua kwamba ,,a hungry man is not a free man" , ...
Gharama itawafanya wasimamizi wawe makini ktk chaguzi nyingine kenya Go Go Go

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu waliomsapoti kenyatta walisema uchaguzi ulikuwa huru na wahaki tujifunze kupitia uchaguzi wa kenya sasa vp mahakama ya kenya iseme kulikuwa na wizi wa kura! tujifunze kipi hapa wizi wa kura ama kupinga matokeo mahakamani?
 
Mkuu kama uli msikia jaji alisema kila upande utachukuwa gharama yake
 
Tume ya Uchaguzi Kenya Ina cha kujifunza toka Tume ya Uchaguzi Zanzibar ( ZEC)

Kenya Wameiga Ndugu zao wa Zanzibar kurudia Uchaguzi baada ya Dosari kadhaa japo Kenya ikisubiriwa Mahakama ndio iamue

Zanzibar Comrade Mwana Mapinduzi Mzalendo Jasiri Jecha Salim Jecha aliamua kurudia baada ya kuona Mapungufu kadhaa!


Tume ya Uchaguzi Kenya ingeiga ya Zanzibar ambayo haikusubiri kuburuzwa Mahakamani ilipoona tu Dosari ikarudia Uchaguzi
Nahisi kichefuchefu
 
Lumumba at work

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
ila uchaguzi uliorudiwa zanzibar haukupoteza pesa?

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Mimi sifwati mkumbo, najua kinachowasumbua Waafrika wengi ni inferiority complex, Mwafrika anafanya jambo ili asifiwe na Muzungu na kamwe hafanyi kwa manufaa yake na watu wake, ukiangalia Waafrika wote wanashangilia Umafia uliofanywa na Mahakama ya Kenya kwa sababu wanataka kuprove kwa Muzungu kwamba nao pia ni Binadamu kwa kigezo cha Muzungu na Raila Odinga kwenye hotuba yake ni kama vile uamuzi huu ni kwa ajili ya kuprove kwa Muzungu kwamba sisi (Waafrika) hatuko wanavyotufikiria!

Kwangu mimi Katiba ya Kenya ni mzigo kwa nchi hiyo, fikiria wanakwenda kufanya Uchaguzi mwingine ndani ya Miezi 3, nani analipia hiyo gharama? Nchi ya Kenya hata chakula kwa watu wake ni shida kwa nini wasiwekeze hiyo fedha hata kwenye Kilimo? I mean matokeo hayatakuwa tofauti Wakikuyu 100% watampigia Uhuru Kenya, sasa kwa nini kupoteza fedha?
Ikumbukwe huyo Raila Odinga alisema ,,this time we will not go to court" na akaendelea kusema haiwezekani Matakwa ya Wakenya yaamuliwe na watu 7 akimasnisha Mahakama, lkn leo hii anasimama na kujigamba kwamba Mahakama ya Kenya imemuonyesha Muzungu kwamba inaweza kutoa haki kwa sababu tu imeamua alivyotaka yeye, vp khs sasa Mamilioni ya Wakenya waliomchagua Uhuru Kenya? Mbona wao wamenyimwa haki yao na watu 7 tu?

Isitoshe kwenye Nchi masikini kama Kenya haiwezekani kuwa na free and fair election kwa 100% ni lazima kutakuwa na matatizo tu, hata huo uchaguzi wa marudio kama Raila Odinga akishindwa na itatokea hivyo hatokubali atarudi Mahakamani tena na ushahidi mwingine ambao ni rahisi kuupata na kuita Uchaguzi mwingine tena, na Je watarudia chaguzi ngapi? Na nani atalipia hiyo gharama?

Of course kwa Muzungu ni win -win situation kwani anapata tenda za kusupply kila kitu kuanzia karatasi za kupigia kura mpaka computer!

Hivyo kwa maoni yangu sijaona chochote cha kufurahia wala kujifunza isipokuwa tu ni Blackman trying to prove his worthy to a Whiteman, hkn kingine, hata hotuba ya Raila Odinga baada ya Uamuzi wa Mahakama mlengwa hakuwa Mkenya wa Kibera bali ni International community aka Muzungu!

Fikiria nchi yote imesimama mwaka mzima kufanya uchaguzi usiokwisha, Nairobi stock exchange imesimama, sasa wanaanza Kampeni tena hivyo hkn kazi mpaka 2018, nani analipia hii gharama?

Kenya hali siyo shwari kama mnavyodhania, ndiyo Muzungu atasifu lkn kuna wimbi kubwa la tsunami linakuja upande wenu, Muzungu alitawala Afrika hakuruhusu hiyo Demokrasia mnayojaribu kumridhisha nayo na kulikuwa na sababu kwa nini hakuruhusu huu ujinga kwani maadamu watu bado ni masikini hata mahitaji ya lazima kama chakula hakuna huwezi kuwa na demokrasia, Muzungu anajua kwamba ,,a hungry man is not a free man" , ...
Mbona Zanzibar mlirudia hamkuona hasara yoote unayoisema hapa..?
Au mkishinda nyie ndik sawa ila akishnda mpinzani si sawa.
UNA AKILI ZA PANZI NA KAMA KUNA MOTO JEHANAMU NYIE MNATAKIWA KUWA KUNI KABISA
 
Achia Wakenya wakuambie ukweli, acha porojo ya vijiweni. Kenya is making strides, have you seen them kill each other for this openness and truth they are fighting for???
 
wewe kazi kushabiki bila kutumia akili na nani kakwambia kenya ni nchi maskini.wacha kukurupuka bila kuchunguza......
 
Mimi sifwati mkumbo, najua kinachowasumbua Waafrika wengi ni inferiority complex, Mwafrika anafanya jambo ili asifiwe na Muzungu na kamwe hafanyi kwa manufaa yake na watu wake, ukiangalia Waafrika wote wanashangilia Umafia uliofanywa na Mahakama ya Kenya kwa sababu wanataka kuprove kwa Muzungu kwamba nao pia ni Binadamu kwa kigezo cha Muzungu na Raila Odinga kwenye hotuba yake ni kama vile uamuzi huu ni kwa ajili ya kuprove kwa Muzungu kwamba sisi (Waafrika) hatuko wanavyotufikiria!

Kwangu mimi Katiba ya Kenya ni mzigo kwa nchi hiyo, fikiria wanakwenda kufanya Uchaguzi mwingine ndani ya Miezi 3, nani analipia hiyo gharama? Nchi ya Kenya hata chakula kwa watu wake ni shida kwa nini wasiwekeze hiyo fedha hata kwenye Kilimo? I mean matokeo hayatakuwa tofauti Wakikuyu 100% watampigia Uhuru Kenya, sasa kwa nini kupoteza fedha?
Ikumbukwe huyo Raila Odinga alisema ,,this time we will not go to court" na akaendelea kusema haiwezekani Matakwa ya Wakenya yaamuliwe na watu 7 akimasnisha Mahakama, lkn leo hii anasimama na kujigamba kwamba Mahakama ya Kenya imemuonyesha Muzungu kwamba inaweza kutoa haki kwa sababu tu imeamua alivyotaka yeye, vp khs sasa Mamilioni ya Wakenya waliomchagua Uhuru Kenya? Mbona wao wamenyimwa haki yao na watu 7 tu?

Isitoshe kwenye Nchi masikini kama Kenya haiwezekani kuwa na free and fair election kwa 100% ni lazima kutakuwa na matatizo tu, hata huo uchaguzi wa marudio kama Raila Odinga akishindwa na itatokea hivyo hatokubali atarudi Mahakamani tena na ushahidi mwingine ambao ni rahisi kuupata na kuita Uchaguzi mwingine tena, na Je watarudia chaguzi ngapi? Na nani atalipia hiyo gharama?

Of course kwa Muzungu ni win -win situation kwani anapata tenda za kusupply kila kitu kuanzia karatasi za kupigia kura mpaka computer!

Hivyo kwa maoni yangu sijaona chochote cha kufurahia wala kujifunza isipokuwa tu ni Blackman trying to prove his worthy to a Whiteman, hkn kingine, hata hotuba ya Raila Odinga baada ya Uamuzi wa Mahakama mlengwa hakuwa Mkenya wa Kibera bali ni International community aka Muzungu!

Fikiria nchi yote imesimama mwaka mzima kufanya uchaguzi usiokwisha, Nairobi stock exchange imesimama, sasa wanaanza Kampeni tena hivyo hkn kazi mpaka 2018, nani analipia hii gharama?

Kenya hali siyo shwari kama mnavyodhania, ndiyo Muzungu atasifu lkn kuna wimbi kubwa la tsunami linakuja upande wenu, Muzungu alitawala Afrika hakuruhusu hiyo Demokrasia mnayojaribu kumridhisha nayo na kulikuwa na sababu kwa nini hakuruhusu huu ujinga kwani maadamu watu bado ni masikini hata mahitaji ya lazima kama chakula hakuna huwezi kuwa na demokrasia, Muzungu anajua kwamba ,,a hungry man is not a free man" , ...

21056186_711868382342280_5222889169541294181_o.jpg
Yaani wewe huna tofauti na fikra zangu...... Nawaza kwa sauti kubwa Sana pesa ya Mwafrika ikitumika kufanya uchaguzi Mara ya pili wakati Wapo Kenyans hawana madawa, hawana hospitals, Havana hata Ada Za kulipia elimu zao..... Hizo billions Za kurudia uchaguzi c wangewekeza huko?! Waafrika sifa zinatuangamiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wewe ni typical Mwafrika, unataka kuprove kitu kwa Muzungu hkn kingine, kama ungewajali Wakenya hivyo angalau ungeguswa na gharama na fedha wanazopoteza kwa ujinga tu, fedha ambayo wangewekeza kwenye ustawi wa jamii yao!
Basi nchi zote zinazofanya uchaguzi zinapoteza hela bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ni vijisababu vya mtu mvivu, kunazo nchi za kisocialist ambazo ni tajiri au zina uwezo mkubwa duniani,
Alfu isitoshe, Tz iliachq mambo yaki socialist kitambo sana, tena nyinyi ni nchi ya pili au tatu africa kwa madini


Kila kitu ni relative, nitajie nchi moja ya kisoshalisti ambayo imeendelea kuliko nchi ya kibepari, isitoshe huwezi kulinganisha Tanzania na Kenya, kwanza Tanzania mpaka leo hii bado hata hatujaaamua rasmi kama sisi ni capitalistic country au la, na hili utaliona kila mahali, kwa mfano huwezi kumiliki ardhi Tanzania mpaka leo ardhi ni mali ya Serikali na hii ni moja kati ya tofauti kubwa kati ya Capitalism and socialism wkt Kenya ni capitalistic country from day one, Unaweza ukamiliki half of the country kama una uwezo huo na hakuna wa kukuuliza kitu, hivyo ni ajabu leo hii kukosa Ugali!
 
Basi nchi zote zinazofanya uchaguzi zinapoteza hela bure

Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna nchi ambazo zinauwezo wa kulipia uchaguzi lkn nyingi za kimaskini hasa za kwetu huku Afrika ni kupoteza hela tu, sasa unapokuja kuongeza na mwingine tena kama huu wa Kenya, ni kunyonga watoto!
 
Mimi sifwati mkumbo, najua kinachowasumbua Waafrika wengi ni inferiority complex, Mwafrika anafanya jambo ili asifiwe na Muzungu na kamwe hafanyi kwa manufaa yake na watu wake, ukiangalia Waafrika wote wanashangilia Umafia uliofanywa na Mahakama ya Kenya kwa sababu wanataka kuprove kwa Muzungu kwamba nao pia ni Binadamu kwa kigezo cha Muzungu na Raila Odinga kwenye hotuba yake ni kama vile uamuzi huu ni kwa ajili ya kuprove kwa Muzungu kwamba sisi (Waafrika) hatuko wanavyotufikiria!

Kwangu mimi Katiba ya Kenya ni mzigo kwa nchi hiyo, fikiria wanakwenda kufanya Uchaguzi mwingine ndani ya Miezi 3, nani analipia hiyo gharama? Nchi ya Kenya hata chakula kwa watu wake ni shida kwa nini wasiwekeze hiyo fedha hata kwenye Kilimo? I mean matokeo hayatakuwa tofauti Wakikuyu 100% watampigia Uhuru Kenya, sasa kwa nini kupoteza fedha?
Ikumbukwe huyo Raila Odinga alisema ,,this time we will not go to court" na akaendelea kusema haiwezekani Matakwa ya Wakenya yaamuliwe na watu 7 akimasnisha Mahakama, lkn leo hii anasimama na kujigamba kwamba Mahakama ya Kenya imemuonyesha Muzungu kwamba inaweza kutoa haki kwa sababu tu imeamua alivyotaka yeye, vp khs sasa Mamilioni ya Wakenya waliomchagua Uhuru Kenya? Mbona wao wamenyimwa haki yao na watu 7 tu?

Isitoshe kwenye Nchi masikini kama Kenya haiwezekani kuwa na free and fair election kwa 100% ni lazima kutakuwa na matatizo tu, hata huo uchaguzi wa marudio kama Raila Odinga akishindwa na itatokea hivyo hatokubali atarudi Mahakamani tena na ushahidi mwingine ambao ni rahisi kuupata na kuita Uchaguzi mwingine tena, na Je watarudia chaguzi ngapi? Na nani atalipia hiyo gharama?

Of course kwa Muzungu ni win -win situation kwani anapata tenda za kusupply kila kitu kuanzia karatasi za kupigia kura mpaka computer!

Hivyo kwa maoni yangu sijaona chochote cha kufurahia wala kujifunza isipokuwa tu ni Blackman trying to prove his worthy to a Whiteman, hkn kingine, hata hotuba ya Raila Odinga baada ya Uamuzi wa Mahakama mlengwa hakuwa Mkenya wa Kibera bali ni International community aka Muzungu!

Fikiria nchi yote imesimama mwaka mzima kufanya uchaguzi usiokwisha, Nairobi stock exchange imesimama, sasa wanaanza Kampeni tena hivyo hkn kazi mpaka 2018, nani analipia hii gharama?

Kenya hali siyo shwari kama mnavyodhania, ndiyo Muzungu atasifu lkn kuna wimbi kubwa la tsunami linakuja upande wenu, Muzungu alitawala Afrika hakuruhusu hiyo Demokrasia mnayojaribu kumridhisha nayo na kulikuwa na sababu kwa nini hakuruhusu huu ujinga kwani maadamu watu bado ni masikini hata mahitaji ya lazima kama chakula hakuna huwezi kuwa na demokrasia, Muzungu anajua kwamba ,,a hungry man is not a free man" , ...

21056186_711868382342280_5222889169541294181_o.jpg

Ukweli mtupu. Account yangu Twitter nimeongea hili jana nzima!
 
Back
Top Bottom