Napingana na hoja kuwa Rais Samia hawezi kumfunika mtangulizi wake, kimsingi atamfunika parefu sana

Napingana na hoja kuwa Rais Samia hawezi kumfunika mtangulizi wake, kimsingi atamfunika parefu sana

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Nawakumbusha wana CCM wenzangu na watanzania kwa ujumla. Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan. Na sasa ni awamu ya 6. Rais Samia atakuwa madarakani kwa miaka 9.

Rais Samia, the irone lady with smart brain anakwenda kufanya transformation kubwa kwenye viwanda, uwekezaji na huduma za kijamii kuliko baadhi wanavyotaka.

Hivyo utukufu ni haki yake na utabaki kuwa utukufu kwa miaka yote atakayo Tawala

Mazuri yake yatabaki na yataishi Milele. Bandari ya Bagamoyo itajengwa, viwanda vitajengwa, mradi wa Gesi utajengwa na zaidi viwanda vitachipuka sio kwa maneno bali tutashuhudia na tanzania inakwenda kuwa nchi yenye nguvu kiuchumi katika ukanda wa maziwa makuu na kusini mwa Afrika.

Number dont lie, tutashindanisha stoke market, FDIs, FDC, Ajira kwa vijana na hali ya umasikini nchini. Propaganda hazina nafasi awamu hii bali vitendo vitaongea

Mikakati yake ni smart na hakika na hatimaye tutapata economic growth na economic development inayogusa maisha ya mtanzania mmoja mmoja.

Tega sikio

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
 
Utu ni bora mara mia kuliko madaraja; haki ni ijara iliyo njema mara elfu kuzidi miundombinu; upendo una thamani kuliko dhahabu ing'aayo sana.

Samia akitenda hayo yu mbora katika watawala. Mungu ampe hekima na maarifa ya kuwaongoza watu wake.
 
Utu ni bora mara mia kuliko madaraja; haki ni ijara iliyo njema mara elfu kuzidi miundombinu; upendo una thamani kuliko dhahabu ing'aayo sana.

Samia akitenda hayo yu mbora katika watawala. Mungu ampe hekima na maarifa ya kuwaongoza watu wake.
Hakika muda utaamua
 
Utu ni bora mara mia kuliko madaraja; haki ni ijara iliyo njema mara elfu kuzidi miundombinu; upendo una thamani kuliko dhahabu ing'aayo sana.

Samia akitenda hayo yu mbora katika watawala. Mungu ampe hekima na maarifa ya kuwaongoza watu wake.
Amin
Kazi iendlee
 
Nawakumbusha wana CCM wenzangu na watanzania kwa ujumla. Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan. Na sasa ni awamu ya 6. Rais Samia atakuwa madarakani kwa miaka 9...
Sinaona unafuu ndani ya lumumba wote sawa tu
 
Utu ni bora mara mia kuliko madaraja; haki ni ijara iliyo njema mara elfu kuzidi miundombinu; upendo una thamani kuliko dhahabu ing'aayo sana.

Samia akitenda hayo yu mbora katika watawala. Mungu ampe hekima na maarifa ya kuwaongoza watu wake.
Ccm lazima iondolewe
 
Ni kweli yeye ni "Irone lady" ....
Kwa taarifa yako JPM hafunikiki hata utembee bila nguo....kikubwa fanya yako...
 
Nawakumbusha wana CCM wenzangu na watanzania kwa ujumla. Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan. Na sasa ni awamu ya 6. Rais Samia atakuwa madarakani kwa miaka 9...
Uzuri sera zote na mipango huonekana kwa takwimu. Tayari zimeanza kuonekana hata kama wapinzani wa Samia hawataki. Mzungukonwa fedha umeanza na Tsh nayo inaimarika dhidi ya fedha kubwa za dunia
 
Uzuri sera zote na mipango huonekana kwa takwimu. Tayari zimeanza kuonekana hata kama wapinzani wa Samia hawataki. Mzungukonwa fedha umeanza na Tsh nayo inaimarika dhidi ya fedha kubwa za dunia
Mama anaupiga mwingi
 
Nawakumbusha wana CCM wenzangu na watanzania kwa ujumla. Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan. Na sasa ni awamu ya 6. Rais Samia atakuwa madarakani kwa miaka 9.

Rais Samia, the irone lady with smart brain anakwenda kufanya transformation kubwa kwenye viwanda, uwekezaji na huduma za kijamii kuliko baadhi wanavyotaka.

Hivyo utukufu ni haki yake na utabaki kuwa utukufu kwa miaka yote atakayo Tawala

Mazuri yake yatabaki na yataishi Milele. Bandari ya Bagamoyo itajengwa, viwanda vitajengwa, mradi wa Gesi utajengwa na zaidi viwanda vitachipuka sio kwa maneno bali tutashuhudia na tanzania inakwenda kuwa nchi yenye nguvu kiuchumi katika ukanda wa maziwa makuu na kusini mwa Afrika.

Number dont lie, tutashindanisha stoke market, FDIs, FDC, Ajira kwa vijana na hali ya umasikini nchini. Propaganda hazina nafasi awamu hii bali vitendo vitaongea

Mikakati yake ni smart na hakika na hatimaye tutapata economic growth na economic development inayogusa maisha ya mtanzania mmoja mmoja.

Tega sikio

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Nakubaliana na wewe 100%, mama ana nafasi nzuri sana ya kushangaza afrika na dunia na kujitengezea Legacy itakayodumu milele kama atarekebisha makosa ya mtangulizi wake na atajikita zaidi kwenye maswala ya "Softwares" za uongozi bora kuliko "Hardwares" .
Vitu laini laini tu kama uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa kujumuika na kutoa maoni. HAKI, Utawala bora, kuimarisha/kuanzisha taasisi imara badala ya kutegemea mtu mmoja,Uhuru wa mihimili, kuanzisha "Oversight Institutions" wengine wanaita "Chapter 9 institutions" Tume itakayohusika na malalamiko ya raia kuhusu huduma na utendaji kazi wa Polisi. Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Kufungua uchumi na kuwezesha wazawa washiriki kikamilifu. Miundombinu inaweza kufanyika kwa mtindo wa PPP.
Mama akifanikiwa kufanya hata nusu ya haya, 2025 atapeta kilaini. pia tuzo za kina Mo Ibrahim na Nobel anaweza kupata.
 
Kama tuu atakamilisha bwawa la mwalimu nyerere kwa wakati lkn ikitokea mpaka anaondoka asilikamilishe atakuwa hajafanya chochote
 
Nawakumbusha wana CCM wenzangu na watanzania kwa ujumla. Rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan. Na sasa ni awamu ya 6. Rais Samia atakuwa madarakani kwa miaka 9.

Rais Samia, the irone lady with smart brain anakwenda kufanya transformation kubwa kwenye viwanda, uwekezaji na huduma za kijamii kuliko baadhi wanavyotaka.

Hivyo utukufu ni haki yake na utabaki kuwa utukufu kwa miaka yote atakayo Tawala

Mazuri yake yatabaki na yataishi Milele. Bandari ya Bagamoyo itajengwa, viwanda vitajengwa, mradi wa Gesi utajengwa na zaidi viwanda vitachipuka sio kwa maneno bali tutashuhudia na tanzania inakwenda kuwa nchi yenye nguvu kiuchumi katika ukanda wa maziwa makuu na kusini mwa Afrika.

Number dont lie, tutashindanisha stoke market, FDIs, FDC, Ajira kwa vijana na hali ya umasikini nchini. Propaganda hazina nafasi awamu hii bali vitendo vitaongea

Mikakati yake ni smart na hakika na hatimaye tutapata economic growth na economic development inayogusa maisha ya mtanzania mmoja mmoja.

Tega sikio

Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Ukweli ni kwamba ukichukua mwaka 1 wa Mwendazake madarakani na Mwaka wa Samia utakuta statistics zote zinambeba Samia.

Na ukweli ni kwamba by 2025 ,tukifanya ulinganifu Samia atakuwa mbele zaidi.

Wanaomchukia Samia ni wale wanamuona kwa kuwa Mzanzibar eti anapendelea kwao which I is false,pili eti kwa kuwa bei za vitu zimepanda na hafokifoki ila anatafuta njia sahihi.

Mwisho Samia kwangu ata make kuwa best president bila mapambio na upuuzi mwingine, bahati nzuri yuko strait anapenda kusema ukweli uchukie au ufurahi ana focus,mfano mzuri ni ishu ya mikopo,ngorongoro na kutafuta fursa kwa kufanya ziara.

Tunataka Rais anaeweza kusimamia anachokiamini.👇

Screenshot_20220319-072839.png


Screenshot_20220319-072518.png


Screenshot_20220319-072556.png


Screenshot_20220317-181419.png
 
Mtazamo wako......rais ni mtu wa haki hawezi kuwanyang'anya watu Mali zao na kuwabambika vyesi ili eti wote wawe CCM
 
Hahaaaaaa haaaaa binadamu wa Tanzania vichaaaaaahaaaaaa
Zisiwe tu promooo maana tunawajua
 
Ni kweli yeye ni "Irone lady" ....
Kwa taarifa yako JPM hafunikiki hata utembee bila nguo....kikubwa fanya yako...
Tayari ana mwaka mmoja Sasa, tuzidi kungoja miaka minne iliyobaki, ili itimie tano aliyotawala JPM, tuone Nani Ni Nani?
 
Back
Top Bottom