Napoteza pesa bila kuelewa

Napoteza pesa bila kuelewa

dogo kubwa

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2016
Posts
798
Reaction score
695
Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa wana bodi, mimi ni wakala wa M-Pesa, kwa muda mrefu nimekuwa naingia hasara bila kujua inatokana na nini.

Kwa mfano, nina laki tano kwenye simu na nina lako tano mkononi, nikifanya mzuguko ndani ya wiki moja, najikuta nina laki mbili kwene simu na laki tatu mkononi, so hapo kuna jumla ya laki tano sijui imepoteaje.

Nimebadili laini ya uwakala nikidhani ile laini ya kwanza kuna namna aliyeniuzia anaiba, kadhalika na hii line mpya nimeyonunua mwenyewe bado tatizo lipo.

Msaada tafadhari. Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app

=====
Upande wa M-Pesa kila miamala unayoifanya andika na jioni angalia salio. Ukiona figisu watembelee voda kwasababu ndani ya voda kuna vijana wa IT wezi wanataka maisha mazuri na utajili wa haraka wakati mishahara haiwatoshi wanachokifanya wanatengeneza kaprogram kakuiba hata shilling mbili kila saa ukizidisha na wateja kwa siku wanaondoka na hela nyingi. Hila wengine wanapiga ndefu kwa mteja mmoja ukitoa taarifa na kulalamika watakuambia system iliteleza sorry utarudishiwa muhamala wako, lakini ukinyamaza ndo imekula kwako. Kuhusu cash money ya mkononi yako mambo ya mazingira ya kiswahili! Wengi kwevile sio wafanyabiashara wanaweza wasijue lakini kwawafanyabiashara hayo mambo yapo. Unaweka hela unakutapungufu mwingine kaishajisevia! Sasa angalia imani yako kama mkristo jifunze!
 
Mwanzoni nilinunua laini ya uwakala kwa mtu, nikadhani aliyeniuzia laini kuna namna ananikata, nikanunua line mpya mimi mwenyewe ila bado na loose

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri utafute mtumishi aliyesimama ufanyiwe maombi, hizo roho chafu zipo sana, hayo yashamkuta sana mama angu karibia afungwe na taasisi za mikopo, wengne wanarushiwa pepo la madeni kila kukicha ni kukopa hata ufanyeje visa vya kukulia pesa haviishi.
Kuna watumishi wanafanya maombi hawaangalii dini ya mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa unatunza kumbukumbu za miamala ipasavyo?

Huenda unatapeliwa baadhi ya miamala ila hujagundua. Na ni mtu mmoja anaendelea kukufanyia huo mchezo.
Ninajitahidi kutunza mkuu, kila mwisho wa wiki napiga hesabu, then nakuta hasara, niko makini mfano, mtu akitoa elfu tano, nisitoe elfu 50 mimi, niko makini na namba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo ndyo changamoto na kilio cha mawakala wengi , tatizo bila kupepesa macho ni chuma ulete 💯, cha kufanya na ufumbuzi wake ni kama ifuatavyo
1. Kama n mkristo zama kwenye imani kwelikweli utapona janga hilo
2. Kama kwenye imani hau fit nenda kwa mganga wa ukweli ukapate zindiko kufukuza chuma ulete
 
Hyo ndyo changamoto na kilio cha mawakala wengi , tatizo bila kupepesa macho ni chuma ulete [emoji817], cha kufanya na ufumbuzi wake ni kama ifuatavyo
1. Kama n mkristo zama kwenye imani kwelikweli utapona janga hilo
2. Kama kwenye imani hau fit nenda kwa mganga wa ukweli ukapate zindiko kufukuza chuma ulete
Inafanyaje kazi hii chuma ulete mkuu, ni mtu mmoja ananichezea au ni kikundi cha watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upande wa mpesa kila miamala unayoifanya andika na jioni angalia salio. Ukiona figisu watembelee voda kwasababu ndani ya voda kuna vijana wa IT wezi wanataka maisha mazuri na utajili wa haraka wakati mishahara haiwatoshi wanachokifanya wanatengeneza kaprogram kakuiba hata shilling mbili kila saa ukizidisha na wateja kwa siku wanaondoka na hela nyingi. Hila wengine wanapiga ndefu kwa mteja mmoja ukitoa taarifa na kulalamika watakuambia system iliteleza sorry utarudishiwa muhamala wako, lakini ukinyamaza ndo imekula kwako. Kuhusu cash money ya mkononi yako mambo ya mazingira ya kiswahili! Wengi kwevile sio wafanyabiashara wanaweza wasijue lakini kwawafanyabiashara hayo mambo yapo. Unaweka hela unakutapungufu mwingine kaishajisevia! Sasa angalia imani yako kama mkristo jifunze!
 
Inafanyaje kazi hii chuma ulete mkuu, ni mtu mmoja ananichezea au ni kikundi cha watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma pia ushauri no reat hapo juu , chuma ulete anaweza kua mtu au kikundi lakin mala nyingi ni mtu mmoja lakini kwa ushauri zaidi jenga mazowea ya kuweka kumbukumbu kwa maandishi kila unapofanya miamala iwe kutoa au kuingiza
 
Hela za noti na zile za sarafu, imekaaje hii

Sent using Jamii Forums mobile app
ina aminika sana kua ela za sarafu zinatumika sana kama chuma ulete,.kwaio ukitenganisha ina maana hazitagusana na ela za noti na apo chuma ulete haitafanyika.
Mimi ni wakala pia na ivo ndivo ua nafanya nayenganisha noti na salafu alafu kila napofunga nafanya mahesabu,kuona kua ela za kwenye simu na cash zimebalance,
jaribu kufanya ivo ndani ya wiki utaleta mrejesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom