Napunguza mwili lakini kichwa changu kipo vile vile

Kijana kijana

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
2,546
Reaction score
2,621
Wadau habarini za masiku.

Naomba kufahamishwa mimi nimeamua kuanza program ya kupunguza mwili na nashkuru nafanikiwa kwa sababu nilikuwa na kilo kama 77 ila saivi nipo na kilo 70 na mwili bado unapungua hata rafiki wananiambia.

Lakini sasa kuna program ya kupunguza kichwa ili na mimi nifanye nikipunguze wadau au mnanipa maoni gani mana napunguza mwili kisha kichwa kinabaki kinafuata mwili ule wa zamani.

Naombeni ushauri ahsanteni
 
Kuna spanner moja inaitwa 'sogeza' inafaa sana ku compress kichwa kwa size uitakayo
 
Kichwa huwa hakipungui utapungua mashavu labda lakini mbichwa na mimacho itabaki kama mwanzo tu
 
Mungu wangu[emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…