Narattive: Mbinu ya 'Kidiplomasia' inayoweza kulinda mahusiano yako dhidi ya waharibifu

Narattive: Mbinu ya 'Kidiplomasia' inayoweza kulinda mahusiano yako dhidi ya waharibifu

Naanto Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,236
Reaction score
15,677
Hili neno 'narattive' huwa linatumika sana kwenye siasa za kimataifa hususani kwenye mahusiano ya kimataifa.

Narattive ni silaha moja muhimu sana katika kuhakikisha kwamba, nchi inalinda ideology yake na misingi yako pale inapohusiana na taifa lingine.

Kwa mfano nchi kama America na Ulaya, wamekuwa waki refer nchi ya China au Russia kama ni 'Wakomunisti', lakini kwa kuwa Wamarekani na watu wa Anglo Europe wanapinga misingi ya Kikomunisti, wakafanikiwa kutengeneza 'narattive' au misingi ya fikra kwamba pale wanapotaja 'Ukomunisti' basi lazima waongeze chumvi kwamba, Ukomunisti haujali haki za binadamu, Ukomunisti ni mfumo unaoongoza nchi kwa damu, etc.

Lengo kubwa hapa ni kwamba, hizi narattive za mataifa ya Magharibi dhidi ya Ukomunisti, ukawafanya raia wa Marekani na Ulaya, tangu wakiwa wadogo kukuwa na fikra za chuki dhidi ya China au Russia.

Kwahiyo, narattive ni kama mfumo fulani wa kuteka akili ya mtu na kumuaminisha mambo ambayo hayana ukweli lakini yana manufaa kwako.

Kutumia narattive kulinda mahusiano yako au ndoa dhidi ya waharibifu.

Hapa ndipo panakuwa patamu, ni kama sehemu ya mbinu za kijasusi. Always, kama mwanaume, unatakiwa ujenge narrative au uwe na uwezo wa ku formulate story ambazo zitakuwa zinampa uwoga mke wako dhidi ya watu ambao unaona ni threat.

Na hili unatakiwa ulitekeleza kwa akili na kwa utulivu mkubwa.

Mfano sisi kama wanaume, unaweza kusoma mazingira ya majirani zako na ukisha notice mazingira ya hatari unaweza ukaanza ku formulate narrative ambazo utakuwa unamuaminisha mkeo au mpenziwe kila siku.

Mfano wa narrative (story ndogo ndogo za uwongo ambao utakuwa unampatia mkeo kama story za kweli);

1. "Aisee jihadhari na huyu mtu, sitaki hata watoto waingie hiyo nyumba, huyu jamaa ni mshirikina hatari sana" - Saikolojia ya mwanadamu jinsi ilivo, ukishamuonya mtu dhidi ya mtu fulani, basi lazima ajawe na hisia za woga dhidi ya yule mtu, na hapo unakuwa umeshafanikiwa kwa asilimia nyingi sana.

2. "Huyu mtu inaonesha ni muhalifu, kama sio jambazi huyu, basi atakuwa muuzaji wa madawa ya kulevya" - Yaani hapo hata kama mkeo alikuwa anasalimiana na huyo mtu, tayari unakuwa umeshamuharibu kisaikolojia, na kumfanya awe na tahadhari kubwa sana dhidi yake.

3. "Aisee mama fulani, embu mwangalie huyo jirani yako vizuri usoni, halafu ntakusimulia kitu jioni" - Jioni ikifika unamuambia mkiwa chumbani, "aisee kama ulimuangalia usoni vizuri, huyu jamaa ana dalili zote za kuwa mgonjwa wa UKIMWI, si unaona hata uso wake ulivyokosa nuru?"

4. "Huyu mdingi ana skendo mbaya sana, kabla ya kuhamia hapa alikuwa anafanya kazi Kigoma, lakini alikutikana na kesi ya kulawiti mtoto wa jirani yake, ndo maana wakamuamisha kumleta huku."

Zipo nyingi sana.

Asikudanganye mtu, ulimwengu unaendeshwa kwa narattive, narattive ni silaha muhimu sana kwenye kuimarisha mahusiano.

Usijisahau kwenye hii angle, always jitahidi kum-feed mwanamke wako narrative kila siku. Usiwe mvivu kwenye hili eneo, utajuta.

Inatakiwa mambo yote anayoongea mke wako, yawe yametokana na story anazosikia kwako na sio kwa mwingine.

Imeisha huyo.
Umebaki utekelezaji tu.

N.Mushi
 
Ni kama vile tunakuwa tunaamini kwambe eti Idd Amini alikuwa anakula nyama za watu, matokeo yake mimi mpaka leo na miaka yangu hii 32 bado naamini kweli Idd Amini alikuwa anakula nyama za watu.

Leo hii ukiwachukuwa watanzania 100 wenye umri kama wangu watakuambia Idd Amini alikuwa anakula nyama za watu.

Hiyo ndo power of narattive, it can do harm 100 times with little efforts.

Ni kujua tu kucheza na maneno na kutengeneza story dhidi ya wabaya wako
 
Asimwambie tu hivi..

"Mke wangu huyo jmaaa ni kitombi yaan anabadili Wanawake kama nguoo na Sijui wanampendea nn,hao Wanawake hawana akili kabisa ,hawajitambui, no washenzi na malayaa au jamaa anatumia uchawi kuwapata"

Ukimwambia mkeo/Mpenzi hivo.... Ni suala la muda tu ,utajiua baada ya kugundua mkeo kaliwa na muhuni...


Saikolojia ya Mwanamke, inamfanya avutiwe sana na Mwanamme ambaye Wanawake wanampenda na kumpa K .


Ndio maana ni rahisi, Mwanaume aliyeoa au mwanaume anayechakata mbusus Kila Mara za Wanawake tofauti Tena Kwa uwaziii bila kufichaaa yaaan mpaka Wanawake wenyewe wanamuita mwanaume malaya..mwsnaume muhuni....hata kama amepanga, utashangaa mji huohuo Atapewa K na Mama mwenye nyumba, hapo hapo wake za wapangaj , hata kama muhuni anaingiza madem hapohapo .


Tena Kuna wakati unatombana, unashangaa meseji ya Mke wa mpangaji mwenzio au Maza hausi inaingiaaa inasema "Weee Mwanaumeee utombee kidogo unibakishiee namimi baadae unitombe jamaan "


wachache sana mtanielewa hapa.
 
Asimwambie tu hivi..

"Mke wangu huyo jmaaa ni kitombi yaan anabadili Wanawake kama nguoo na Sijui wanampendea nn,hao Wanawake hawana akili kabisa au jamaa anatumia uchawi kuwapata"

Ukimwambia mkeo/Mpenzi hivo.... Ni suala la muda tu ,utajiua baada ya kugundua mkeo kaliwa na muhuni...


Saikolojia ya Mwanamke, inamfanya avutiwe sana na Mwanamme ambaye Wanawake wanampenda na kumpa K .


Ndio maana ni rahisi, Mwanaume aliyeoa au mwanaume anayechakata mbusus Kila Mara za Wanawake tofauti Tena Kwa uwaziii bila kufichaaa yaaan mpaka Wanawake wenyewe wanamuita mwanaume malaya..mwsnaume muhuni....hata kama amepanga, utashangaa mji huohuo Atapewa K na Mama mwenye nyumba, hapo hapo wake za wapangaj , hata kama muhuni anaingiza madem hapohapo .


Tena Kuna wakati unatombana, unashangaa meseji ya Mke wa mpangaji mwenzio au Maza hausi inaingiaaa inasema "Weee Mwanaumeee utombee kidogo unibakishiee namimi baadae unitombe jamaan "


wachache sana mtanielewa hapa.
Ndo mana nikasema ni kama ujasusi, story hazitakiwi kuwa kwenye mambo ya ukitombi, kama mke wako anapenda kunyanduliwa maana yake hapo utamfanya ajipeleke kwa jamaa kunyanduliwa..

Hapa kwenye narattive huwa tunalenga kwenye "CHARACTER ASSASSINATION"
 
Ndo mana nikasema ni kama ujasusi, story hazitakiwi kuwa kwenye mambo ya ukitombi, kama mke wako anapenda kunyanduliwa maana yake hapo utamfanya ajipeleke kwa jamaa kunyanduliwa..

Hapa kwenye narattive huwa tunalenga kwenye "CHARACTER ASSASSINATION"
Yes hapo unatakiwa upigee zile za kumaliza...

Jamaa anameza ARVs..


Nasikia Jamaa alibaka mtoto wake wakiume .


Jamaa ni mwanga Sanaa anakusanya Roho za watu anaweka kwenye kichupa yaan Wife wanasema ukimsogelea ukampa mkono, anabaki na Roho yako anaifanyia maendeleo.


Jamaaa anafanya makafara Kila miezi mitatu .

Yaaan Tisha tishaaa .


Sema Sasa, utatisha mpaka huko makazin, Bodaboda nk??.

Ataanza kuona niuongo ,unawaonea wivu
 
Usitumie nguvu nyingi kwenye mapenzi utaishia kuwa disappointed wee hizo nguvu elekeza kwenye kipato
 
Yote hayo eti ili umdhibiti mtu mwenye utashi na ufahamu wake??!!! Hit & Run usitumie nguvu kubwa kujitafutia amani ya moyo wako, amani ni bure na inapatikana kwa urahisi tu. Kwenye stori za dini Narrative ilitumiwa mbinguni kumuaminisha Hawa kuwa Mti ule usile matunda yake ni mabaya ila mwisho wa siku hawa aliyatafuna
 
Asimwambie tu hivi..

"Mke wangu huyo jmaaa ni kitombi yaan anabadili Wanawake kama nguoo na Sijui wanampendea nn,hao Wanawake hawana akili kabisa ,hawajitambui, no washenzi na malayaa au jamaa anatumia uchawi kuwapata"

Ukimwambia mkeo/Mpenzi hivo.... Ni suala la muda tu ,utajiua baada ya kugundua mkeo kaliwa na muhuni...


Saikolojia ya Mwanamke, inamfanya avutiwe sana na Mwanamme ambaye Wanawake wanampenda na kumpa K .


Ndio maana ni rahisi, Mwanaume aliyeoa au mwanaume anayechakata mbusus Kila Mara za Wanawake tofauti Tena Kwa uwaziii bila kufichaaa yaaan mpaka Wanawake wenyewe wanamuita mwanaume malaya..mwsnaume muhuni....hata kama amepanga, utashangaa mji huohuo Atapewa K na Mama mwenye nyumba, hapo hapo wake za wapangaj , hata kama muhuni anaingiza madem hapohapo .


Tena Kuna wakati unatombana, unashangaa meseji ya Mke wa mpangaji mwenzio au Maza hausi inaingiaaa inasema "Weee Mwanaumeee utombee kidogo unibakishiee namimi baadae unitombe jamaan "


wachache sana mtanielewa hapa.
Wachache sana watakuelewa kuhusu hii comment.

Yani leo ndyo umesema uhalisia mkuu dr.

Nb.Sio wote watakao kuelewa.
 
Myth story,, you think utakaa kumtafutia huo uongo kwa kila mwanaume anayekutana naye,, huko ni kuonekana chizi sasa, mpaka yeye mwenyewe anaweza kushtuka sasa, kumbuka ni limtu lizima unalifanyia hivyo siyo mtoto.
 
Back
Top Bottom