Narudi kijijini kulima, maisha ya kwenye jiji la Dar nimeshindwa, nimekubalii🙌🏽

Ushauri mzuri sana ndugu, Mungu akamtangulie 🙏
 
Tatizo mnachukulia kuwa kilimo ni chaguo la mwisho baada ya kufeli, kilimo cha hivyo ni kile tu cha kulisha familia.
 
Kuna uzi wa jamaa wa wilaya ya Tanganyika, Mwese namba 4 humu utafute ukaungane naye. Lakini huko uende na adabu zote kuna akina ngosha ukileta ujinga wa mjini wanakugawana! Kilimo chenyewe kule kinakubali! Ni wewe tu na nguvu yako ya kufyeka mapori!
Unaitwaje huo uzi mkuu?
 
Wakati we unatoka wenzio wanaingia! Ni sawa bye bye
 
stress is the gape between expectations and reality. The more the gape,the more the stress".
Kabisa mkuu.
Kuna muda unafika inabidi upange mipango kulingana na kipato, ustarehe kulingana na kipato pia.

Jamaa anadhani kula bata ni mpaka awe na 50k wakati 15k anaweza kuifurahia vizuri tu.

Tatizo vijana wengi wanaiga, wanapenda kufake mpaka furaha ili watu waone anaishi vizuri, sijui hii hua inawafaidisha nini nafsini mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…