Makonde plateu JF-Expert Member Joined Nov 19, 2022 Posts 1,443 Reaction score 3,480 Dec 3, 2024 #1 Wakuu hivi sehemu sahihi ya kiutafutaji katika ya Morogoro na Katavi ipi ni sahihi? Kwa maana ya biashara ya mazao na maduka ya dawa Morogoro maeneo ya Ifakara, Mvomero, Malinyi, Kilombero na Mlimba?
Wakuu hivi sehemu sahihi ya kiutafutaji katika ya Morogoro na Katavi ipi ni sahihi? Kwa maana ya biashara ya mazao na maduka ya dawa Morogoro maeneo ya Ifakara, Mvomero, Malinyi, Kilombero na Mlimba?
Ismoo JF-Expert Member Joined Apr 18, 2018 Posts 1,101 Reaction score 1,573 Dec 3, 2024 #2 Kama unataka kuwa mkulima sawa. Hayo maeneo uliyo yataja ni mazuri sana kwa kilimo. Kama unamtaji nenda kapambane mkuu.
Kama unataka kuwa mkulima sawa. Hayo maeneo uliyo yataja ni mazuri sana kwa kilimo. Kama unamtaji nenda kapambane mkuu.
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Feb 14, 2025 #3 Ismoo said: Kama unataka kuwa mkulima sawa. Hayo maeneo uliyo yataja ni mazuri sana kwa kilimo. Kama unamtaji nenda kapambane mkuu. Click to expand...
Ismoo said: Kama unataka kuwa mkulima sawa. Hayo maeneo uliyo yataja ni mazuri sana kwa kilimo. Kama unamtaji nenda kapambane mkuu. Click to expand...
holoholo JF-Expert Member Joined May 10, 2023 Posts 1,859 Reaction score 2,986 Feb 14, 2025 #4 Yote ni sawa tu,uchaguzi ni wako mkuu.