Narudia tena, CHAMA ni mchezaji wa mechi ndogo

Tafuta clip ya Simba vs Vita, Simba vs Nkana halafu ndio uje kuandika vizuri, fala mkubwa ww
 
Mchezaji anayepata namba kwenye timu Mbovu akienda Yanga hata sub akai kwa sasa
Chamaa hawezi pata namba pale Jangwani.

Hana work rate ya kucheza mechi kubwa kubwa.
 
Yani pale mtu anapoandika uzi kumnyea mtu ambae anaona kabisa ni tishio any way vinyesi ni vyenu nyie vifurumisheni tuu
Chamaa ni tishio kwa nani?

Amecheza KariakooDerby 8 mpaka sasa. Amefunga goli 1 tu katika kipindi hiko chote.
 
Yule ni Mzee mwenzetu, ni zaidi ya miaka 40 ndio maana RS wakashtuka huyu mzee tumemsajili wa nini, wakaachana naye!
Chama ana uwezo wa kuwaotea timu ndogo na sio mchezaji wa mechi kubwa kubwa.

Kule Berkane ilikuwa kimbembe maana kuna Wydad Raja Far Rabat umeona mziki huo.

Ndio maana pamemshindwa kule.
 
Mtoa mada yuko sahihi chama ni mchezaji wa kawaida wakucheza kwenye space anapokutana na ihefu hawezi kabisa kusajiliwa na timu yoyote kubwa.

Mkibisha mpangeni derby ijayo tuwakamue tena
Kama mchezaji wa nje unashindwa kutoa outstanding perfomance kwenye games za derby consistently ni kazi bure kabisa.
 
Hatukuwahi kumuhitaji Manzoki.

Profile yake haina tofauti na Makambo wa sasa hivi.
Hata Morison mlikuwa mnamsema hivyohivyo sijui hata Ile kesi ya shabiki wenu aliyechomwa na kitu chenye ncha kali imeishia wapi
 
Kwan lile goli la kwanza si lilifungwa na yeye akiwa ndani? Kubalin kua hana maajabu
 
Umesahau aliwafanya nini pale kwa Mkapa kile kipindi cha kwanza mlipoutafuta kwa tochi, mkaja kupumua baada ya kocha kumtoa, uto una kumbukumbu fupi sana.

Leo huku kwetu ni mlete..... mlete.....mlete...!!
Hana maajabu
 
Sisi yanga tunaomba mungu chama asiondoke tuendelee kuwaonyesha panapo vuja maana mapenzi yamewajaa
 
Chamaa ni tishio kwa nani?

Amecheza KariakooDerby 8 mpaka sasa. Amefunga goli 1 tu katika kipindi hiko chote.
Hivi nyie na hyo Derby mnajua mpk mnatia aibu yan derby ndo imekua kipimo? Yani bado simba mnaiwek kwenye level ya derby?? Nyie mnalogaaaa mngekua hamlogi msingekua mnafungwa na vitimu vidogo endeleeni kuloga mtafute umaarufu wa kumfunga mnyama kimataifa mtapasikia tuu kama kipimo chenu ni derby
 

Sawa mabingwa wa Africa sisi tutaendelea kuwakanda tu vijana wa muhindi
 
Hata zile 4 alizokufa yanga pale lupaso...Chama alikuwa mbovu. Sema ni vile tu tumeumbiwa kusahau[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umesahau aliwafanya nini pale kwa Mkapa kile kipindi cha kwanza mlipoutafuta kwa tochi, mkaja kupumua baada ya kocha kumtoa, uto una kumbukumbu fupi sana.

Leo huku kwetu ni mlete..... mlete.....mlete...!!
Chama hakufanya mtu yoyote chochote hana maajabu yoyote lete mzungu wewe mavi ya kale hayanuki acha ubishoo tufungeni hivi sasa kuna Rais Injinia na Super Sub Professor Nabi kama mnaweza! !@$###€_
 
Sasa mechi kubwa inapimwa kwa Derby?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…