Narudia tena kama Matola yuko pale vs Kocha wa kigen Simba mtasikia ubingwa wa Jackpot

Narudia tena kama Matola yuko pale vs Kocha wa kigen Simba mtasikia ubingwa wa Jackpot

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Simsemi kwa ubayaaaaaa

Mpwa huyu ajawahii kuwaacha makocha WA kigeni SALAMA kamweee

Hii post ya 3 na kama SIMBA wanataka kudonga MBELE wasahauu MATOLA KWENYE bench

Sioo kwa nia mbaya nakupaa homework fwatiliaaa

NIKOPALE KWA wakala ......

KABLA ya Aug BENCHIKA ATAKUWA SIMULIZI PALE SIMBA.....
 
Matoka alitoka akaenda kusoma akamwachia coach Zolan Marc team
Mbona mlipigwa mkachakaa
Tatizo la simba ni wachezaji wanovu

Sajili mabeki wa kulia na kushoto na striker mmoja mkali
 
Nyie makolo jiangalieni na mjitafakari Mkicheza utumbo kama wa leo tar 20 mtachezea saba nadhani mnatufaham
 
Hii simba ukiendelea kuipenda ugojwa wa moyo utakua na wewe km mchungaji na biblia
 
Simsemi kwa ubayaaaaaa

Mpwa huyu ajawahii kuwaacha makocha WA kigeni SALAMA kamweee

Hii post ya 3 na kama SIMBA wanataka kudonga MBELE wasahauu MATOLA KWENYE bench

Sioo kwa nia mbaya nakupaa homework fwatiliaaa

NIKOPALE KWA wakala ......

KABLA ya Aug BENCHIKA ATAKUWA SIMULIZI PALE SIMBA.....
Simba pekee ndio tunaendelea na huo upuuzi wa kocha msaidizi awe mzawa.
Yanga wameshaachana na huo ujinga muda mrefu.
 
Simsemi kwa ubayaaaaaa

Mpwa huyu ajawahii kuwaacha makocha WA kigeni SALAMA kamweee

Hii post ya 3 na kama SIMBA wanataka kudonga MBELE wasahauu MATOLA KWENYE bench

Sioo kwa nia mbaya nakupaa homework fwatiliaaa

NIKOPALE KWA wakala ......

KABLA ya Aug BENCHIKA ATAKUWA SIMULIZI PALE SIMBA.....
Mlianza na Bocco eti anaroga wachezaji! Bocco wa watu hayupo sasa hivi,wafungaji wanafanya nini?

Hii tabia ya kutafuta watu wa kutoa kafara ili kufunika makosa ya viongozi na mdhamini wa timu,ina lengo la kuzidi kuivuruga Simba.

Chanzo cha ubovu wa timu ni uongozi mbovu na hawatakiwi kuwepo ofisini kabisa.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Matola anahusika nini ktk usajili? Unataka kusema Simba ilifanya usajili vizuri ila inaangushwa na kocha?
 
Humu kuna vilaza wa hali ya Juu kabisa.

Yani mtu ni mwenye akili timamu hawezi kuwa na Fikra kama hizo za kipumbavu na kimasikini.

Matola ndio amesajili magalasa ya akina.

Miquesson.
Saido.
Jobe.
Fredy.
Babakar.
Kanute.

"Hakuna umasikini mbaya kama umasikini wa Fikra".
JK Nyerere.
 
Matola anawapiga pin makocha wa lkigeni......wote wanagukuzwaaa daa ndumba kichinga hizooo
 
Humu kuna vilaza wa hali ya Juu kabisa.

Yani mtu ni mwenye akili timamu hawezi kuwa na Fikra kama hizo za kipumbavu na kimasikini.

Matola ndio amesajili magalasa ya akina.

Miquesson.
Saido.
Jobe.
Fredy.
Babakar.
Kanute.

"Hakuna umasikini mbaya kama umasikini wa Fikra".
JK Nyerere.
Nini kazi ya matola??
Anawajibika vipi na matokeo mabovu??
Au matokeo mabovu ni ya kocha mkuu peke yake na makocha wengine wa kigeni Katika benchi la Simba??
Je,unajua Idadi ya makocha wa kigeni waliofukuzwa kwa matokeo mabovu lakini matola alibaki???
Ikibidi hivyo kocha mkuu pia asifukuzwe!!
 
Nini kazi ya matola??
Anawajibika vipi na matokeo mabovu??
Au matokeo mabovu ni ya kocha mkuu peke yake na makocha wengine wa kigeni Katika benchi la Simba??
Je,unajua Idadi ya makocha wa kigeni waliofukuzwa kwa matokeo mabovu lakini matola alibaki???
Ikibidi hivyo kocha mkuu pia asifukuzwe!!

Unaamini Makocha ndio sababu ya simba kufanya vibaya.

Kama unaamini hivyo akili yako itakuwa mbuvu kabisa.
Na hustahili kuwa jamii forum kabisa

MATATIZO YA SIMBA YAMEGAWANYIKA SEHEMU KUU TATIU, IKIWEMO YA NNE YA WANACHAMA WAPUMBAVU.

UWEKEZAJI.
UONGOZI.
WACHEZAJI.
 
Humu kuna vilaza wa hali ya Juu kabisa.

Yani mtu ni mwenye akili timamu hawezi kuwa na Fikra kama hizo za kipumbavu na kimasikini.

Matola ndio amesajili magalasa ya akina.

Miquesson.
Saido.
Jobe.
Fredy.
Babakar.
Kanute.

"Hakuna umasikini mbaya kama umasikini wa Fikra".
JK Nyerere.
Nadhani kwenye list ungemtoa Saido na Kanoute, Saido kasaidia sana team mwaka jana ila nakubaliana na wewe angekuwa mchezaji wa dakika 20 hivi sio full 90 sababu ya umri, Kuhusu Kanoute amecheza kwa muda na team vizuri tu shida wachezaji wapya waliokuja hawana msaada ndio sasa wazee kina Saido inabidi wacheze.

Kusajili wachezaji walioshindwa huko kama kina Miquesson ni makosa makubwa sana ni sawa unampa talaka mkeo ameenda kuolewa huko kapigwa talaka halafu unamrudia tena na sherehe juu unategemea nini? Simba katika usajili wamechemka sana sababu Simba wanataka kucheza kama 433 shida wachezaji wanaowaleta hawa fit katika huo mfumo. Hapa ni kujipanga tu kuleta wachezaji watakao kuja kuchukua nafasi sio kukaa bench. watu kama Kapombe zamani alitakiwa kuwe na kijana pale yeye awe back up tu kabla ya kuondoka.
 
Unaamini Makocha ndio sababu ya simba kufanya vibaya.

Kama unaamini hivyo akili yako itakuwa mbuvu kabisa.
Na hustahili kuwa jamii forum kabisa

MATATIZO YA SIMBA YAMEGAWANYIKA SEHEMU KUU TATIU, IKIWEMO YA NNE YA WANACHAMA WAPUMBAVU.

UWEKEZAJI.
UONGOZI.
WACHEZAJI.
Ndugu najua sababu zipo nyingi.
shida yangu kwenye hilo benchi la ufundi huwa wanaondolewa walimu wa kigeni tuu....
 
Back
Top Bottom