Simba pekee ndio tunaendelea na huo upuuzi wa kocha msaidizi awe mzawa.Simsemi kwa ubayaaaaaa
Mpwa huyu ajawahii kuwaacha makocha WA kigeni SALAMA kamweee
Hii post ya 3 na kama SIMBA wanataka kudonga MBELE wasahauu MATOLA KWENYE bench
Sioo kwa nia mbaya nakupaa homework fwatiliaaa
NIKOPALE KWA wakala ......
KABLA ya Aug BENCHIKA ATAKUWA SIMULIZI PALE SIMBA.....
Mlianza na Bocco eti anaroga wachezaji! Bocco wa watu hayupo sasa hivi,wafungaji wanafanya nini?Simsemi kwa ubayaaaaaa
Mpwa huyu ajawahii kuwaacha makocha WA kigeni SALAMA kamweee
Hii post ya 3 na kama SIMBA wanataka kudonga MBELE wasahauu MATOLA KWENYE bench
Sioo kwa nia mbaya nakupaa homework fwatiliaaa
NIKOPALE KWA wakala ......
KABLA ya Aug BENCHIKA ATAKUWA SIMULIZI PALE SIMBA.....
Nini kazi ya matola??Humu kuna vilaza wa hali ya Juu kabisa.
Yani mtu ni mwenye akili timamu hawezi kuwa na Fikra kama hizo za kipumbavu na kimasikini.
Matola ndio amesajili magalasa ya akina.
Miquesson.
Saido.
Jobe.
Fredy.
Babakar.
Kanute.
"Hakuna umasikini mbaya kama umasikini wa Fikra".
JK Nyerere.
Nini kazi ya matola??
Anawajibika vipi na matokeo mabovu??
Au matokeo mabovu ni ya kocha mkuu peke yake na makocha wengine wa kigeni Katika benchi la Simba??
Je,unajua Idadi ya makocha wa kigeni waliofukuzwa kwa matokeo mabovu lakini matola alibaki???
Ikibidi hivyo kocha mkuu pia asifukuzwe!!
Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu mno!Matola anawapiga pin makocha wa lkigeni......wote wanagukuzwaaa daa ndumba kichinga hizooo
Nadhani kwenye list ungemtoa Saido na Kanoute, Saido kasaidia sana team mwaka jana ila nakubaliana na wewe angekuwa mchezaji wa dakika 20 hivi sio full 90 sababu ya umri, Kuhusu Kanoute amecheza kwa muda na team vizuri tu shida wachezaji wapya waliokuja hawana msaada ndio sasa wazee kina Saido inabidi wacheze.Humu kuna vilaza wa hali ya Juu kabisa.
Yani mtu ni mwenye akili timamu hawezi kuwa na Fikra kama hizo za kipumbavu na kimasikini.
Matola ndio amesajili magalasa ya akina.
Miquesson.
Saido.
Jobe.
Fredy.
Babakar.
Kanute.
"Hakuna umasikini mbaya kama umasikini wa Fikra".
JK Nyerere.
Shule yamgu haikusaidii wewe wala Matola....tumeshajua Matola anaibujumu 5imba...ili abakie yeye......Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu mno!
Hata unavyoandika inaonesha hata shule tu huna
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ndugu najua sababu zipo nyingi.Unaamini Makocha ndio sababu ya simba kufanya vibaya.
Kama unaamini hivyo akili yako itakuwa mbuvu kabisa.
Na hustahili kuwa jamii forum kabisa
MATATIZO YA SIMBA YAMEGAWANYIKA SEHEMU KUU TATIU, IKIWEMO YA NNE YA WANACHAMA WAPUMBAVU.
UWEKEZAJI.
UONGOZI.
WACHEZAJI.