johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kila mwaka wa uchanguzi ni hizo huzo kauli ila ukiisha ndo mnaanza lazima tuwe na tume ua uchanguzi huru, baada ya kushuhudia kushindo cha 70% hi nchi yangu ni raha tuNi angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana [emoji209]
cc: mzee Mgaya
Maeneo machache tu. Ngorongoro, Arusha, Moshi, Mbeya, Iringa na mwanza. Kwingineko kote CCM inashinda misa ya kwanza tu na Samia anaendelea hadi 2030.Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana πΌ
cc: mzee Mgaya
Jo mara hii unaliwa kichwa na wajumbe ukiwa jimbu la muishimiwa mmbeya,ama lindo,ama chatu.Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana πΌ
cc: mzee Mgaya
Wengi watashangazwa tuombe Uzima πJo mara hii unaliwa kichwa na wajumbe ukiwa jimbu la muishimiwa mmbeya,ama lindo,ama chatu.
Kwanza huyo mzee mstaafu siyo mpendwa kwa wote. Labda kwako wewe.Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana πΌ
cc: mzee Mgaya
Hata kama utakuwa jimbo la micheweni tuambie tu.Wengi watashangazwa tuombe Uzima π
HayaKwanza huyo mzee mstaafu siyo mpendwa kwa wote. Labda kwako wewe.
Wote wataenda CHAUWAWapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Wengi watakuja hapo hapo ChademaWote wataenda CHAUWA
Kwa nini?Wengi watakuja hapo hapo Chadema
Mvuto ππKwa nini?
Hata covidi watarudi kwa magoti.Mvuto ππ
Yawezekana uko sahihi ndio mana hata ushirikina umeanza mapema πππNi angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana πΌ
cc: mzee Mgaya