Pre GE2025 Narudia tena Uchaguzi wa 2025 utakuwa mgumu sana Usidanganyike na Siasa za 2030!

Pre GE2025 Narudia tena Uchaguzi wa 2025 utakuwa mgumu sana Usidanganyike na Siasa za 2030!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana

Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK

Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015

Ahsanteni Sana 🐼

cc: mzee Mgaya
Jo isije tu ukawa unaangalia na jicho la ze bulldozer?
 
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana

Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK

Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015

Ahsanteni Sana 🐼

cc: mzee Mgaya
Waende AcT ,chadema hatuwataki
 
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana

Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK

Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015

Ahsanteni Sana 🐼

cc: mzee Mgaya
Posho zenu zikichelewa huwa unaandika ukweli
 
Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana

Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK

Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015

Ahsanteni Sana 🐼

cc: mzee Mgaya
Upo sahii mkuu ukizingatia ccm inaenda pigwa show ya kibabe ,kama uchaguzi ukifanyika
 
Wanaccm wengi Iringa wamekasirika sana Msigwa kupewa promo kubwa kwenye mikutano waakati juzi tu alikuwa akiitukana ccm. Wameapa "kuachana mkeka" 2025.
 
Yawezekana uko sahihi ndio mana hata ushirikina umeanza mapema 😄😄😄
Na ikiwezekana tujizane waliowekeza kwenye ushirikina ili tuwape thank U mapeeema,waone hata ushirikina wao hauna nafasi kwa wapika kula wao!
 
Back
Top Bottom