Pre GE2025 Narudia tena Uchaguzi wa 2025 utakuwa mgumu sana Usidanganyike na Siasa za 2030!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jo isije tu ukawa unaangalia na jicho la ze bulldozer?
 
Waende AcT ,chadema hatuwataki
 
Posho zenu zikichelewa huwa unaandika ukweli
 
Upo sahii mkuu ukizingatia ccm inaenda pigwa show ya kibabe ,kama uchaguzi ukifanyika
 
Wanaccm wengi Iringa wamekasirika sana Msigwa kupewa promo kubwa kwenye mikutano waakati juzi tu alikuwa akiitukana ccm. Wameapa "kuachana mkeka" 2025.
 
Kuna chama kikubwa kitabadili mgombea 2025.
 
Maeneo machache tu. Ngorongoro, Arusha, Moshi, Mbeya, Iringa na mwanza. Kwingineko kote CCM inashinda misa ya kwanza tu na Samia anaendelea hadi 2030.
Kwa nn wanashinda asubuhi tu? Au Ki-Nape style?
 
Yawezekana uko sahihi ndio mana hata ushirikina umeanza mapema πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Na ikiwezekana tujizane waliowekeza kwenye ushirikina ili tuwape thank U mapeeema,waone hata ushirikina wao hauna nafasi kwa wapika kula wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…