Jo isije tu ukawa unaangalia na jicho la ze bulldozer?Ni angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana πΌ
cc: mzee Mgaya
Waende AcT ,chadema hatuwatakiNi angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana πΌ
cc: mzee Mgaya
Mbowe akiwataka wewe huna la kumfanya ππ₯Waende AcT ,chadema hatuwataki
Nani amekwambia mkuu ,chadema sio Mbowe au awaye mtu yoyote ,chadema ni taasisi, ndo maana Msingwa anaangaika kama kuku atakae kutagaMbowe akiwataka wewe huna la kumfanya ππ₯
Kumbe 2015 ulikuwa bado Chipukizi πNani amekwambia mkuu ,chadema sio Mbowe au awaye mtu yoyote ,chadema ni taasisi, ndo maana Msingwa anaangaika kama kuku atakae kutaga
Posho zenu zikichelewa huwa unaandika ukweliNi angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana πΌ
cc: mzee Mgaya
Mbona wao wapo na Msigwa + COVID 19?Nani amekwambia mkuu ,chadema sio Mbowe au awaye mtu yoyote ,chadema ni taasisi, ndo maana Msingwa anaangaika kama kuku atakae kutaga
Nashangaa wanayaona ya chedema wakati inasemekana mgombea wa mwakani kama uchaguzi utafanyika itatolewa form moja kama 2000 ilivyokuaMbona wao wapo na Msigwa + COVID 19?
Upo sahii mkuu ukizingatia ccm inaenda pigwa show ya kibabe ,kama uchaguzi ukifanyikaNi angalizo tu sisi tunaoangalia kwa jicho la rohoni tunaiona mbali sana
Uchaguzi ujao kila tutakapojikwaa tutategemea Ushauri na Uzoefu wa mstaafu mmoja tu aliyebaki Mzee wetu mpendwa JK
Wapinzani watapokea Wanaccm wengi watakaofeli kura za maoni kama ilivyokuwa 2015
Ahsanteni Sana πΌ
cc: mzee Mgaya
Kwa nn wanashinda asubuhi tu? Au Ki-Nape style?Maeneo machache tu. Ngorongoro, Arusha, Moshi, Mbeya, Iringa na mwanza. Kwingineko kote CCM inashinda misa ya kwanza tu na Samia anaendelea hadi 2030.
Na ikiwezekana tujizane waliowekeza kwenye ushirikina ili tuwape thank U mapeeema,waone hata ushirikina wao hauna nafasi kwa wapika kula wao!Yawezekana uko sahihi ndio mana hata ushirikina umeanza mapema πππ