Nas escobar,still an expensive rapper!

Nas escobar,still an expensive rapper!

theHAVARD_product

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
289
Reaction score
192
Kwa wale,wapenzi wa muziki wa ukweli,Real Music watakuwa wanamfahamu Nguli huyu wa Rapper. Hasa wale Vijana wa 1990'S,the boy Made it world to be around kwa hits kalii.
Though Modern hiphop imeshika KASI sana miaka hii,na Jamaa ni Real so Ngoma anatoa NADRAA sana.
Shows zake ni kuanzia $200000K,mwaka juzi AliMiss show Angola,walikuwa wamemlipa $300000k!
NB: jamaa stills lookin' young with 39!
 

Attachments

  • nas.jpg
    nas.jpg
    7 KB · Views: 269
  • Nas_03-28-2012.jpg
    Nas_03-28-2012.jpg
    12.8 KB · Views: 115
Kwa wale,wapenzi wa muziki wa ukweli,Real Music watakuwa wanamfahamu Nguli huyu wa Rapper. Hasa wale Vijana wa 1990'S,the boy Made it world to be around kwa hits kalii.
Though Modern hiphop imeshika KASI sana miaka hii,na Jamaa ni Real so Ngoma anatoa NADRAA sana.
Shows zake ni kuanzia $200000K,mwaka juzi AliMiss show Angola,walikuwa wamemlipa $300000k!
NB: jamaa stills lookin' young with 39!

Nasir Jones...Illmatic(94)....NY state of Mind!
 
1.huyu jamaaa mkali
2.hachuji
3.hazeeki
4.sisikiagi skendo zake kama wenzie ila alileta gumzo mwaka 2006 alipotoa ngoma yake "hiphop is dead"
5.albamu yake ya kwanza mimi kununua ilikuwa yake



images
 
Nasir Jones! ma best rapper of all times. The Queen Bridge King. The Broooklyn Finest.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
1.huyu jamaaa mkali
2.hachuji
3.hazeeki
4.sisikiagi skendo zake kama wenzie ila alileta gumzo mwaka 2006 alipotoa ngoma yake "hiphop is dead"
5.albamu yake ya kwanza mimi kununua ilikuwa yake



images
hahaa,mkuu umenikumbusha mbali sana with this Albam cover..Inaelekea ww ni mdau wa Nas kiukweliii.. DEFJAM wanamlipa $400000k per month,atoe singo, asitoe...
 
Dah ebana katika wanamziki ambao nimesikiliza album zake zote huyu na bob marley dah nom..hawa ndo malegend bana my favorite truck dance with my mother hadi nilikuwa nalia *****...
 
Dah ebana katika wanamziki ambao nimesikiliza album zake zote huyu na bob marley dah nom..hawa ndo malegend bana my favorite truck dance with my mother hadi nilikuwa nalia *****...
Very powerful ,sensitive snd emotional song ever seen.a lot of credits ,he made it
 
Back
Top Bottom