Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
Taarifa ya kuogopesha kuhusu Jiwe kubwa aina ya Asteroid kuweza kutua Duniani na kuhalibu Jiji kwa Ukubwa wake imetolewa na mwanasayansi akisema Nasa imechelewa kuzuia jiwe Hilo.
Inawezakana ukafikiria labda ni movie za Hollywood kuhusu Scifi Filamu kuhusu Jiwe kuhalibu maeneo ya watu ila hii ni Uwalisia Kuna jiwe kubwa linashuka Duniani na litaweza kusababisha Uharibifu mkubwa kwenye eneo litakalo tua.
Jiwe Hilo kubwa limepewa jina la 2024 YR4 liko njiani kushuka Duniani, likiwa na ukubwa sawa na sanamu la statue library, yenye ukubwa wa futi 130 mpaka 300 sawa na Mita 40 na 90 kulingana na ripoti ya Daily Mails.
mwandishi na mtaalamu wa volkano anayeishi London Dakt. Robin George Andrews. Alisema huenda tusiweze kuzuia kabisa jiwe kubwa hili kuweza kushuka Duniani kwani tuko chini ya miaka 8 ya kuweza kukabiliana nalo kupitia mtandao wa X aliweza kusema.
Aliongezea kwa kusema kupanga na kuthibiti hii asteroid 2024 YR4 ni zaidi ya miaka 10 lakini sasa linakaribia kushuka Duniani tuna chini ya miaka 8 hivyo tumeshindwa kulipoteza Tuombe tu Madhara yasiwe makubwa.