safishanyota
Member
- Oct 2, 2017
- 34
- 24
Mbali Na vita hofu yangu Ni Kenya huru kuona inaingia machafuko yasiyokwisha busara ingetumika baada ya Mariga kubatilisha uchaguzi..Nasa wanataka vita tu
Siyo nusu mkate, amesema hakuna hata slice moja!Kenyatta ameshasema hakuna nusu mkate.
Hiki kizee kinafki sana wacha kinyooshwe.Siyo nusu mkate, amesema hakuna hata slice moja!
Duh,Inasemekana Pombe ndiyo anafadhili hiyo mikate na soda.
Shida pale ni Uhuru na team yake, madai ya Odinga ni sahihi kabisa japo mengine yanahitaji muda . Haiwezekani wale wale walioshiriki kuharibika kwa kura ya 8/8 wawe ndiyo waandalizi wa kura mpya hawawezi kuaminika tena. Ule mtambo wa ( server) lazima iwe cleared na isiwe na kitu ndani kabla ya marudio ya uchaguzi. Na kampuni yeyote iliyohusika na udanganyifu unyang'anywe ukandarasi. Sasa hata kama yote yasingewezekana ila majadiliano yangesaidia kupunguza tension. Sasa Uhuru alivyo mkora anatuma wakora wenzio kwenda kubadili sheria za uchaguzi. Kwa hali ilivyo Kenya sasa busara na majadiliano yenye kuleta maridhiano tu ndiyo inaweza kuikwamua.
madai angepeleka kwa korti huku mtaani anavuruga credibility yake.Shida pale ni Uhuru na team yake, madai ya Odinga ni sahihi kabisa japo mengine yanahitaji muda . Haiwezekani wale wale walioshiriki kuharibika kwa kura ya 8/8 wawe ndiyo waandalizi wa kura mpya hawawezi kuaminika tena. Ule mtambo wa ( server) lazima iwe cleared na isiwe na kitu ndani kabla ya marudio ya uchaguzi. Na kampuni yeyote iliyohusika na udanganyifu unyang'anywe ukandarasi. Sasa hata kama yote yasingewezekana ila majadiliano yangesaidia kupunguza tension. Sasa Uhuru alivyo mkora anatuma wakora wenzio kwenda kubadili sheria za uchaguzi. Kwa hali ilivyo Kenya sasa busara na majadiliano yenye kuleta maridhiano tu ndiyo inaweza kuikwamua.
Very stupid indeed .I saw on Citizen TV a foolish woman from kibera ,already living in poverty, who's neglecting her own business just to attend these protests.very stupid these NASA idiots...sasa maandamano yatabadilisha nini?
Clouded thinking, though I expect such from your kind.Hapo suluhisho ni moja TU, Uhuru Kenya akae na Raila Odinga wakubaliane kwa maandishi kwamba Uhuru atakuwa Raisi labda kwa miaka 2 halafu ampishe Raila Odinga (bila ya Uchaguzi) kwa kipindi kilichobakia, kwani lengo la Odinga na Wajaluo ni Uraisi tu kabla hajafa, kinyume na hapo Uhuru Kenya hataongoza kwa raha kama Wajaluo hawajatoa Raisi wa Kenya!
Sasa kaka kwann asiprotest kama utawala huo huo ndo imemfanya aishi kwenye mazingira ya kimaskin japo ana biashara zake watu wanahitaj haki kaka sio kisa maskin ndo kila kitu kiwe ndio watu washapoteza maisha kisa kusaka hak zao na vizaz vyao vilifaidika acha mama apambane watoto zake waje kuchekelea maisha#Kama ana amin hakutendewa haki na huyo anae mpigania anahis atamtengenezea mazingira mazur aondokane na umaskin 50/50Very stupid indeed .I saw on Citizen TV a foolish woman from kibera ,already living in poverty, who's neglecting her own business just to attend these protests.
Niliipenda sana hii kauli ya nusu mkate[emoji23] [emoji23] [emoji23] .Kenyatta ameshasema hakuna nusu mkate.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] kile kipimo kinakuhusu mkuuuInasemekana Pombe ndiyo anafadhili hiyo mikate na soda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwama jamaa watakunywa chai kavuuuuSiyo nusu mkate, amesema hakuna hata slice moja!
Hapo suluhisho ni moja TU, Uhuru Kenya akae na Raila Odinga wakubaliane kwa maandishi kwamba Uhuru atakuwa Raisi labda kwa miaka 2 halafu ampishe Raila Odinga (bila ya Uchaguzi) kwa kipindi kilichobakia, kwani lengo la Odinga na Wajaluo ni Uraisi tu kabla hajafa, kinyume na hapo Uhuru Kenya hataongoza kwa raha kama Wajaluo hawajatoa Raisi wa Kenya!
YaaniMhh watu wa middle income wanapora sodaππππ sasa inabidi wapewe soda na mikate ya bure kweli hali mbaya sana sema ukiwakuta humu wanapayuka unaweza dhani wanatokea nchi ya asali na maziwa
Unataka kusema sheria na katiba ziwekwe kapuni
Why is it difficult to have a free and Fair election in Africa