Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ššššššBalaa limetokea baharini huko
Mkuu chochote kinacho-rely on electricity can be affected.Na tukio hili ni cha mtoto,we haven't seen anything yet.As we move towards 2030,matumbo yatauma.Wale waliokuwa wanasema Masanzua ana conspiracy theories, watatambua kwamba wao ndio waliokuwa wajinga,and by the way we haven't seen anything yet,the worst is yet to come.Sitishi, lakini huo ndio ukweli.Au ndo maana hata Twitter haipatkaniš¤
Si mambumbumbuu,wao mambo yao ni ya kitapeli tapeli tu kama siasa.Do you know what politics is,hereš,see!CCM watasema vita ya UKRAINE
Ubongo wake umeliwa na minyoo ya conspiracies.Huna habari nzuri, habari zako matatizo tu
Next year ,?NASA says Magnetic Storm has reached level G-5 and at this level there can be power grid collapse
MAY 10, 2024
NASA says Earth is presently being impacted by the first two, of SIX coronal mass ejections from the sun and the energy is causing a massive Geo-Magnetic storm around our planet. The storm has now reached level "G5" - the most severe on the Space Weather Scale! Power Grid COLLAPSE can take place at this level!
There is already severe disruption of satellite communications, GPS, and low frequency Navigation Beacons.
With the storm having now reached G5, we could see sporadic or even widespread power grid failures.
More as it becomes available
MY TAKE:
It is important for humanity to understand that this is not something natural, but probably created by NASA itself in it's bid to eliminate most of humanity by 2025.The truth is this,NASA wakiongea kitu,ujue wame-shakifanya,that is their modus operandi
NASA has already the technology to do this type of thing.
Mungu atusaidie mkuu.Mkuu chochote kinacho-rely on electricity can be affected.Na tukio hili ni cha mtoto,we haven't seen anything yet.As we move towards 2030,matumbo yatauma.Wale waliokuwa wanasema Masanzua ana conspiracy theories, watatambua kwamba wao ndio waliokuwa wajinga,and by the way we haven't seen anything yet,the worst is yet to come.Sitishi, lakini huo ndio ukweli.
Pia sijajua nini hasa chanzo cha haya mafuriko na majanga ya asili? Leo hii karibia maziwa yote Tanzania yamejaa na kurudisha/kuingiza maji mtaani.Am I still a Prophet of doom?
Mkuu ukweli unauma,lakini lazima usemwe.Tatizo ni kwamba Wanadamu tumemuasi Mungu,so He has withdrawn His protection,kwa hiyo Shetani using his agents anatuchezea kama mpira wa corner.He has provided them with unbelievable technologies ambazo ndizo wanazotumia kutuchezea.Pia sijajua nini hasa chanzo cha haya mafuriko na majanga ya asili? Leo hii karibia maziwa yote Tanzania yamejaa na kurudisha/kuingiza maji mtaani.
Cable zinezingua baharini,national grid gani iliyozima!?Mitandao mingi duniani imeenda down ikiwemo Starlink ya Musk.
Unataka nini tena?
2003 likitokea Hilo suala na ndo linalingana ukubwa na hili,hapa kati yametokea Ila si kwa ukubwa,usipende negative conspiracy theoriesMkuu chochote kinacho-rely on electricity can be affected.Na tukio hili ni cha mtoto,we haven't seen anything yet.As we move towards 2030,matumbo yatauma.Wale waliokuwa wanasema Masanzua ana conspiracy theories, watatambua kwamba wao ndio waliokuwa wajinga,and by the way we haven't seen anything yet,the worst is yet to come.Sitishi, lakini huo ndio ukweli.
Umekwenda huko bahari ukaona?These are international conspiracies.NASA wanafanya vitu vyao wanawapa directive semeni hivi hawa washenzi wasijue kinachoendelea, kama ilivyokuwa kwenye Covid na mambo mengine mengi huko nyuma.Yaani you people are so dumb.Kuna mtu wa kuamini leo bila ku-prove kitu mwenyewe.Wake up guys.2003 likitokea Hilo suala na ndo linalingana ukubwa na hili,hapa kati yametokea Ila si kwa ukubwa,usipende negative conspiracy theories
We si umeambiwa pia hizo conspiracy theories,au ulikua na NASA kwenye mazoezi!?..au we ni scientist!?Umekwenda baharini ukaziona,au ndio ninyi wa kuamini kila mnachoambiwa.