NASA Unveils New Plane Designs

NASA Unveils New Plane Designs

X-PASTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
11,605
Reaction score
1,843
NASA has revealed what the future of air travel could look like.

The US space agency has released pictures of three different designs of aircrafts that could potentially be seen flying in 2025.

These concepts for the next generation of planes have been developed by three teams who were offered contracts by NASA late last year.

The teams - Lockheed Martin, Northrop Grumman and The Boeing Company – have been asked to further investigate their designs and test them during the course of 2011.

Commenting on the three projects and what sort of plane it was hoping to launch in the future, NASA said on its website: "Each design looks very different, but all final designs have to meet NASA's goals for less noise, cleaner exhaust and lower fuel consumption. Each aircraft has to be able to do all of those things at the same time, which requires a complex dance of trade-offs between all of the new advanced technologies that will be on these vehicles."

NASA added: "Each design has to fly up to 85 percent of the speed of sound; cover a range of approximately 7,000 miles; and carry between 50,000 and 100,000 pounds of payload, either passengers or cargo."

Here is a first look at what planes of the future could look like:

lockh.jpg

Image credit: NASA/Lockheed Martin

north1.jpg

Image credit: NASA/Northrop Grumman

boein2.jpg

Image credit: NASA/The Boeing Company
 
article-1347515-0CC6E9DB000005DC-194_634x354.jpg

Nasa's Solar Flapper is an unconventional concept for a plane that would use solar power and flapping of the aircraft's 'wings' to propel itself up and forward.


article-1347515-0CC6E9D7000005DC-901_634x633.jpg

Industrial designer Luigi Colani came up with this concept for Japan Airlines.
 

To infinity and beyond: The 'Puffin' Personal Aircraft concept by Nasa bears more than a passing
article-1347515-0CC6E9D3000005DC-814_634x324.jpg

Resemblance to Toy Story's Buzz Lightyear. It is targeted to reach speeds of more than 150mph with a range of about 50 miles.


article-1347515-0CC6E9C3000005DC-265_634x318.jpg

This futuristic 'flying saucer' design is not only space-age but eco-friendly too, designed by the CleanEra project, led by Etnel Straatsma of Delft University of Technology in The Netherlands.
 
article-1347515-0CC6E9AB000005DC-942_634x471.jpg

The Flying Yacht: The Aeroscraft ML866 offers the ultimate luxury experience.

article-1347515-0CC6E9BF000005DC-875_634x445.jpg

The Icon A5 is known as the 'ultimate joyride' and can take off and land on water or dry land and, when its 32-foot wings are folded, it can fit comfortably into a large garage.

 
hii teknolojia inatisha sasa du mambo makubwa yani najiuliza hivi hawa wagunduzi wangekuwa nchi kama tanzania kwa ufisadi na uchakachuaji uliopo wangeweza kweli kuvumbua haya mambo makubwa hivi
 
hii teknolojia inatisha sasa du mambo makubwa yani najiuliza hivi hawa wagunduzi wangekuwa nchi kama tanzania kwa ufisadi na uchakachuaji uliopo wangeweza kweli kuvumbua haya mambo makubwa hivi
Nchi ya Tanzania, wavumbuzi wapo, ila wengi wao ndio wanatekwa na hizo nchi zilizo endelea...!

Nchi zetu zina matatizo mengi ya kimsingi bado hatuna uwezo wa kuyatatua, sasa serikali ikijikita kwenye hayo mambo wananchi wa kawaida hawata elewa, wataona kuwa serikali yao inawatupa mkono na haiwajali, kwani haya mavumbuzi huwa yanachukuwa muda mrefu sana mpaka kupata kitu bora na manufaa kwa watu...! Sisi tunataka result za papo kwa papo na si za kusubiri miaka kumi mbele.
 
wataalamu wa tanzania hawapo wenye uwezo huu na kama wangekuwepo ndio wangetufanyia mambo makubwa ya kimaendeleo.serikali zote zenye wagunduzi zilikuja ondokea kuwajali wataamu wao baada ya kuona kazi zao,na hapo ndipo hupanga mafungu ya fedha kusaidia wataalamu hao.tena wakati fulani wataalamu katika maeneo fulani fulani ya dunia hiihii wametokea kuuwawa !! sababu ni wananchi (serikali) kwa kutowaelewa wafanyacho ama kiwe kitu au maneno fulani magumu.ombi langu:- [1] iwapo kuna wataalamu wenye maono hapa tanzania watumie tu muda wao na fedha zao kugundua vitu kwa faida ya watu wote [2] nawaomba wasomi msiwadharau watu ambao hawajajaliwa kusoma ili wakijitokeza wasiosoma wakawa na maono msianze kuwahoji elimu zao na mu baki mkiwasaidia kwenye ugunduzi wao huo kwenye maeneo yanayohitaji elimu zenu nyie wasomi muwe pamoja nao.hili tatizo la dharau ya wasomi linakwamisha maendeleo na angalieni sana kuhusu dharau,mimi haya nisemayo nimeyaona.
 
Babu wa loliondo kwa juhudi zake kagundua dawa yake watu wanapona,jambo la kushangaza watu wasomi wanamtaka atoe siri ya dawa na wanahangaika ovyo ili wajue siri yake ili wamnyang'anye haki miliki yake ya kugundua dawa,wao walichotakiwa kumfanyia ni kile tu ambacho yeye atahitaji na hicho ndicho atafutiwe haraka ikiwa ni pamoja na kutafuta eneo zuri la kupanda kwa wingi hiyo miti anayotumia katika tiba na pia wagonjwa wanaotibiwa asaidiwe waorodheshwe vizuri ili asilimia ya wanaopona ijulikane.ngozi nyeusi tutabaki nyuma milele!watu wasomi mnachukua dawa ya babu mnaondoka nayo hadi kwenye maabara zenu zilizotoka ulaya na nyinyi wataalamu wenyewe si chochote wengi wenu pamoja mmesoma lakini hata mpangilio wa vyakula vyenu hamjausomea mnanenepeana hadi vichwa na ubongo unakuwa na mafuta na ndio maana vinyago na ngoma za utamaduni na mikeka ya watu ambao hawakusomea ina soko zuri ulaya.nyie wasomi hata sindano ya mkono inayomeremeta vizuri hamwezi kuitengeneza hata mkusanyike wote nyie weusi (waarabu na wahindi msiwe pamoja nao) mwacheni babu atoe kikombe na mtu asipopona ni sawa tu na mtu akipona ni sawa.nimewaeleza haya nyie wasomi weusi,dawa hii niliyowapa ni chungu sana lakini kwa kuwa mnayo homa itakayowaua lazima muinywe tu.jazba acheni tafakarini sana sana.
 
Hey i thought space exploration was grounded due to its high level of pollution(space junk which poses high unknown risks) and to it's high cost? Or is'nt t?
 
Back
Top Bottom