NASA yaingia kwenye anga hewa la jua

Kama walivyotugundua sisi bara la afrika, wakaja kufuta dini zetu, tamaduni zetu, lugha zetu vyakula vyetu , mfumo wetu wa uongozi wakatuletea vyao wakatutawala na kutuuza kama mifugo huku tukibeba rasilimali zetu kuwapelekea Vivyo hivyo wanataka kugundua wengine maana sisi tumeanza kuwa wajanja
 
Si tunaotumia 2%of our Brain tulihisi it was impossible to touch reach the surface of the sun na wale wanao abudu jua he Vip hapo mungu wao atakubali kufikika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…