NASA yaingia kwenye anga hewa la jua

NASA yaingia kwenye anga hewa la jua

Una haki ya kutowaamini hawa viumbe..haswa wamarekani.
Miaka ya 60s walituambia walitua mwezini, wakaja na picha kibao zenye utata.

Ajabu mpaka sasa tuko 2021, pamoja na mabadiliko makubwa ya utaalam wa anga za juu, hawajawahi kurudi tena huko.
Hii inatia mashaka makubwa kama kweli walitua mwezini.
Au hawataki tu kwenda mwezini, baada ya kugundua kuwa hakuna cha maana huko...
Just my thoughts.....
 
Ni upuuzi uliopiliza kuamini uongo huu . Hakuna chombo chochote kilichowahi fika kwenye jua halafu unatutajia nyuzi joto zake ulipima kwa kutumia nini? Km 7Mln umezipimaje wakati hakuna chombo kilichowahi kufika kwenye jua?, Ni chuma au Madini gani hayo yatayoweza kuhimili Moto Mkali namna ile kutoka kwenye jua na yanapatikana sehemu gani Duniani? . Uletewa picha za kutengeneza kwenye computer nawe unafumvazwa akili unaamini. Amka Mwana fikra pevu waza bila box usiwaze nje ya box.
ndugu, binafsi sipendi comment za kashfa, ila nakupa maarifa kuwa calculatuon za vitu ambavyo havipo huwezekan kwa kucalculate equivalents
 
CHOMBO CHA PARKER SOLAR PROBE CHAFIKA KATIKA ANGA HEWA YA JUA [emoji274][emoji274]

Soma Hapa Uelewe kwa Undani

Ndio chombo cha kwanza kilichotengenezwa na mwanadamu kuweza kufika katika maeneo ya anga hewa za Jua kwanza kabla ya kuendelea hivi hunafahamu hata kwenye sayaru yetu ya dunia bado tupo katika anga hewa ya Jua inayoitwa Corona yaani hili Joto lote tunalolipata mpaka kwendelea huko pluto ni kutokea kwenye ule mlipuko wa anga hewa ya corona anga hewa ya Jua huisha tu mpaka pale utakapofikia interstellar space

Chombo hichi kilirushwa 2018 na Nasa ila kilitengenezwa nchini canada siunajua Nasa wanamatawi mengi lengo la chombo hichi ni kwenda kulisoma Jua kiundani zaidi yaani tangu hapo mwanzo tumekuwa tukilisoma Jua kwa umbali fulani kwasasa tumeamua kwenda indeeep zaidi ila hatutazidi umbali wa 8-5 million kilomita kwasababu hatutakuwa na chombo kitakachoweza kuhimili Joto kali sana

Kwasasa chombo kimefika katika Anga hewa ya Jua ambayo inafahamika kama Corona umbali wa Takribani 8 million km kutokea kwenye surface ya Jua kimevunja rekodi kufika katika eneo hilo ambalo ndio eneo lenye Joto sana au tuseme Joto linalotawanywa kwenye maeneo mbalimbali ya solar syetem baada ya kutoka kwenye kiini kuja kwenye surface na kuanza kusafiri hapa Joto huweza kufikia mpaka 1 million centigred

Ndio katika anga hewa la corona hufikia hadi 1 million centigred kutokana na " baada ya joto kuzalishwa Jingi huko ndani kwenye ule mchakato wa Nuclear fission Joto huzidi sana na huwa linatafuta sehemu ya kutokea ambapo kutokana na solar magnetic zinazoizunguka Jua huchana baazi ya maeneo ya Jua na lile joto lililokuwa na uji uji wa moto huruka juu kama fataki wakati wa kutoka hukutana na solar winds ambapo hizi winds hubeba punje punje za ule moto anga hewa corona na hutawanja maeneo mbalimbali ya ulimwengu

Je Kwanini chombo hicho hakiwezi kupata madhara ?

Chombo hakiwezi kupata madhara kama kitazunguka katika umbali uliopangwa kumbuka ni 8-5 million km tu kikizidi hapo bye bye

Chombo kimewekewa ngao yenye kuhakisi mwanga kumbuka kitu chochote chenye kuhakisi mwanga hupunguza ukali na Joto la Jua tofautisha na vile vinavyosharabu kwahiyo baada ya ile ngao nyuma yake kuna madini ya carbon ambayo wengi wetu tunayajua fuatilia kwenye rocket ya starship utaona kuna kama madude meusi huku chini

Kwahiyo kwa uwepo wa ngao inayoakisi mwanga na madini ya carbon pia hiyo haitoshi kuna mfumo wa kupoza kumputers umewekwa baada ya madini ya carbon hivyo kufanya computer na camera zote na mifumo mengine yote kuwa salama bila ya kuathiriwa na Jua yaani hapa tuseme ni kama kwenye dunia yetu tuna ngao ya asili earth magnetic field ambayo hupambana na hizi solar winds ambazo zina miale mikubwa sana ya moto kutokea kwenye Jua

Chombo hichi kimeweza pia kufikia spidi ya 194 km/s ambayo ni sawa na 700,000 km/h kumbuka chombo kiliweza kukusanya nguvu kupitia maeneo mbalimbali ili kuweza kupenetrate katika eneo hili

[emoji848] Kwa wale wanaouliza maswali haya kuhusu picha nani aliyepiga picha napenda kuwajibu kwamba hizo picha ni za computer generated kwasababu chombo kipo pekee yake huko na kumbuka kinapiga picha jua hakiwezi kujipiga picha chenyewe hivyo wanasayansi wanatoa picha hizi kwa sababu tupate kujifunza na kitambua kumbe chombo hukaa kwa mkao huu huko kwenye Jua

[emoji848] NB: NITAANDAA UZI MAALUM KWA MASWALA YA ELIMU YA ANGA , SAYANSI NA TEKNOLOJIA ZAKE. MNAKARIBISHWA KUULIZA NA KUTOA MAJIBU NA UFAFANUZI UKIWA NA UELEWA WA MASWALA YA SAYANSI YA ANGA PAMOJA NA MAMBO YA TEKNOLOJIA
Ahsante na ubarikiwe agiza healtho nakuja lipia
 
Ni upuuzi uliopiliza kuamini uongo huu . Hakuna chombo chochote kilichowahi fika kwenye jua halafu unatutajia nyuzi joto zake ulipima kwa kutumia nini? Km 7Mln umezipimaje wakati hakuna chombo kilichowahi kufika kwenye jua?, Ni chuma au Madini gani hayo yatayoweza kuhimili Moto Mkali namna ile kutoka kwenye jua na yanapatikana sehemu gani Duniani? . Uletewa picha za kutengeneza kwenye computer nawe unafumvazwa akili unaamini. Amka Mwana fikra pevu waza bila box usiwaze nje ya box.
Hata babu yako aliyelala mauti miaka ya 1800's akiamka leo akakuta technology ya watsup video call hataamini cha msingi na wewe thibitisha kisayansi kwa nini huu ni uongo.
 
Asante sana nimekuelewa vizuri, sasa kama hizo picha si halisi yani watu wamecheza na adobe je, kutakuwa na uhakika gani kama hata hiko kifaa kimefika wakati hamna picha halisi zote ,zimetengenezwa?

Mfano mimi nikianzisha taasisi inayo husiana na sayansi ya mambo ya anga then nika utangazia umma kuwa nimepeleka chombo hilo eneo halafu nikatengeza picha za namna hiyo, lakini niwe sijapeleka chombo wala nini. Nasa watakuwa wamenizidi kitu gani hasa katika fact?
Safi sana mkuu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Uhakika upo mana nishakwambia kwamba chombo kikfika huko pia kinapiga picha na kuzituma duniani,wewe umetuma chombo Mars kimefika na kikapiga picha huko Mars halafu kikakutumia utakua bado hujaamini tu?
Pia chombo kikisharushwa huko kwenye space tunaweza kuwasiliana nacho huku duniani na tukajua kipo wapi kinatembea spidi gani kina temperature kiasi gani na tukiomba picha za huko kinatutumia na mambo mengine mengi tu.Hata wewe sahvi unaweza ukadownload apps kwenye simu yako ambazo zinakupa mawasiliano na baadhi ya satellites ambazo zipo kwenye space mfano ISS pia kama una telescope unaweza ukaviangalia mwenyewe kupitia telescope yani kuna njia nyingi sana za kujua, sio wewe ukae tu useme umerusha chombo angani haya tukikwambia tunataka kukiona hicho chombo kwa telescope au tuwasiliane nacho kwa computer au tukiombe hicho chombo kiturushie picha za huko kilipo utafanayaje?
Nikutolee mfano satellite ya kwanza ilirushwa na warusi kipindi hicho ilikiwa ni soviet union, walivyoirusha walijua kabisa wapo watu watabisha kama hawajarusha sattelite kwa hiyo walichokifanya wakafunga radio transmitter kwenye hiyo sattellite ili ikishafika huko nje ya dunia iweze kutuma radio signals duniani, so wewe kama ulikuwa unataka ujue kama warusi kweli wamerusha satellite ulikuwa unachukua kifaa maalum kinachopokea mawimbi ya radio halafu kikishapokea hayo mawimbi kinaanza kutoa sauti,uwe marekani uwe Canada uwe ulaya uwe China hayo mawimbi ya radio yatakufikia tu ukitumia kifaa maalum cha kuyapokea. kwahiyo dunia nzima waliiamini satellite ya urusi mana hakukuwa na namna unaweza kubisha wakati satellite ipo na inasikika.
Na pia hao NASA wana washindani wao wakarne na karne ambao ni ROSCOSMOS ya urusi na space agency ya China,yani hata wakidanganya hao washindani wao hawawezi kukaa kimya hata siku moja mana wanashindana kwelikweli kila mmoja anatak aonekane yeye ndio yupo juu kwenye tafiti za anga kuliko mwenzake so sio rahisi kudanganya hata kidogo lazima uumbuliwe na hii tafiti ya kwenda kwenye jua Marekani amewapiga gepu kubwa sana warusi na wachina kwahiyo isingekuwa ya kweli wachina na warusi wasingenyamaza.
Mbona kama unalazimisha watu waamini story ambayo na ww umesimuliwa, kinaachoongelewa hapa ni kwamba, NASA wanaweza kukudanganya pia kama walivokudanganya wamefika mwezini. Kama mwezi ndo object kubwa iliyokaribu na dunia na hawajafika unaamini vipi kuhusu kufika mars

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Ilinibid niwaache kidogo hawa watu maana palikuwa na lugha gongana nauliza hiki najibiwa kile
Watu wanaamini kila kitu mzungu anachowaambia, ukiwaambia umeme ulikuepo afrika misri kabla hata ya mzungu hajafika mtu atakubishia hadi kesho. Na wakati ushahidi upo kwenye pyramids, ila wazungu wama story ambazo hazina ushahidi ila watu wanaamini

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Mbona kama unalazimisha watu waamini story ambayo na ww umesimuliwa, kinaachoongelewa hapa ni kwamba, NASA wanaweza kukudanganya pia kama walivokudanganya wamefika mwezini. Kama mwezi ndo object kubwa iliyokaribu na dunia na hawajafika unaamini vipi kuhusu kufika mars

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Nimesimuliwa wapi mkuu kwani umesikia hiyo ni history, sayansi mzee haisimuliwi tu hivihivi lazima uje na proven facts with mathematical formula ndio utaeleweka yani ningekuona unamuelekeo flani hivi wa sayansi ningekupigia lecturer ya rocket science na orbital mechanics nikuonyeshe ni jinsi gani watu wanafika huko sayari ya mars lakini kwa bahati mbaya sana na wewe ndio walewale closed minded people yani kila kitu nyie mnadanganywa kila kitu kwenu nyinyi lazima tu mkitengenezee conspiracy theories, mtu anabisha watu kupeleka vyombo sayari ya mars wakt ni jambo linafanywa kila siku na mataifa mbalimbali mrusi,mchina,marekani,muarabu(UAE) wote hao wameshapeleka vyombo huko kwahiyo tuseme mataifa yote hayo walikaa kikao wakakubaliana waje wakundanganye kwamba washawahi kwenda mars?
Halfu kingine safari za kwenda mwezini watu washapeleka sana tu vyombo vyao ambavyo havina watu (unmanned spacecrafts) ila ishu inayotia watu shaka ni kwamba marekani kuwahi kupeleka watu mwezini na kuwarudisha duniani hilo ndio watu wanajadili kwamba ni hoax lakini sio kwa unmanned spececrafts mana hata mchina,mrusi washapeleka spececrafts zao huko mwezini ambazo hazijabeba watu.
 
Nimesimuliwa wapi mkuu kwani umesikia hiyo ni history, sayansi mzee haisimuliwi tu hivihivi lazima uje na proven facts with mathematical formula ndio utaeleweka yani ningekuona unamuelekeo flani hivi wa sayansi ningekupigia lecturer ya rocket science na orbital mechanics nikuonyeshe ni jinsi gani watu wanafika huko sayari ya mars lakini kwa bahati mbaya sana na wewe ndio walewale closed minded people yani kila kitu nyie mnadanganywa kila kitu kwenu nyinyi lazima tu mkitengenezee conspiracy theories, mtu anabisha watu kupeleka vyombo sayari ya mars wakt ni jambo linafanywa kila siku na mataifa mbalimbali mrusi,mchina,marekani,muarabu(UAE) wote hao wameshapeleka vyombo huko kwahiyo tuseme mataifa yote hayo walikaa kikao wakakubaliana waje wakundanganye kwamba washawahi kwenda mars?
Halfu kingine safari za kwenda mwezini watu washapeleka sana tu vyombo vyao ambavyo havina watu (unmanned spacecrafts) ila ishu inayotia watu shaka ni kwamba marekani kuwahi kupeleka watu mwezini na kuwarudisha duniani hilo ndio watu wanajadili kwamba ni hoax lakini sio kwa unmanned spececrafts mana hata mchina,mrusi washapeleka spececrafts zao huko mwezini ambazo hazijabeba watu.
Wewe kama ww umeshuhudia au wamekubrain wash huko na ww unakuja kutupiga kamba.
Cha msingi lete fact bro. Maelezo ya mzungu tu hayatoshi ku prove kitu. Aminisha watu kwa fact

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Akili yangu bado ina wenge.....

"[emoji3578]Hivyo chombo cha parker solar probe kimeendelea kuweka record za kibabe ya kuwa chombo chenye kasi kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa na mwanadamu ambapo huweza kwenda kasi ya Kilometer 194 kwa sekunde (194 Km/s) ama Kilometer 700,000 kwa saa ( 700,000 Km/h) [emoji2930][emoji100][emoji91]"

Mfano:
Safari ya Dar mpaka Moro, just for one second...?

Hicho chombo kikiwa kwenye maximum speed, sidhani kama kitaonekana kwa macho au hata camera.

Ufafanuzi please...
hivi umewahi kujiuliza sattelite zilizopo juu zina kwenda kwa mwendo gani!!? je kama mwendo huo ukipungua nini kinatokea!!? na mwendo huo ukizidi nn kinatokea!!? unafahamu dunia inazunguka jua kwa mwendo gani kwa saa!!? na inazunguka mwendo gani ikiwa inajizungusha kwenye muhimili wake kutengeneza usiku na mchana!!? umesha wahi kufuatilia baadhi za vyombo mwendo wake vikiwa safarini nje ya dunia kuzuru anga!!? na hapa duniani umesha wahi sikia chombo kilicho vunja rekodi ya mwendo wa aridhini kilikua kinakwenda mwendo gani kwa lisaa limoja!!? mambo ni mengi muda ni mchache
 
hivi umewahi kujiuliza sattelite zilizopo juu zina kwenda kwa mwendo gani!!? je kama mwendo huo ukipungua nini kinatokea!!? na mwendo huo ukizidi nn kinatokea!!? unafahamu dunia inazunguka jua kwa mwendo gani kwa saa!!? na inazunguka mwendo gani ikiwa inajizungusha kwenye muhimili wake kutengeneza usiku na mchana!!? umesha wahi kufuatilia baadhi za vyombo mwendo wake vikiwa safarini nje ya dunia kuzuru anga!!? na hapa duniani umesha wahi sikia chombo kilicho vunja rekodi ya mwendo wa aridhini kilikua kinakwenda mwendo gani kwa lisaa limoja!!? mambo ni mengi muda ni mchache
I got you...
Inawezekana.
 
hivi umewahi kujiuliza sattelite zilizopo juu zina kwenda kwa mwendo gani!!? je kama mwendo huo ukipungua nini kinatokea!!? na mwendo huo ukizidi nn kinatokea!!? unafahamu dunia inazunguka jua kwa mwendo gani kwa saa!!? na inazunguka mwendo gani ikiwa inajizungusha kwenye muhimili wake kutengeneza usiku na mchana!!? umesha wahi kufuatilia baadhi za vyombo mwendo wake vikiwa safarini nje ya dunia kuzuru anga!!? na hapa duniani umesha wahi sikia chombo kilicho vunja rekodi ya mwendo wa aridhini kilikua kinakwenda mwendo gani kwa lisaa limoja!!? mambo ni mengi muda ni mchache
Yote hayo umefundishwa au kusikia ila hujaona. Ndo kitu tusichotaka

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
hivi umewahi kujiuliza sattelite zilizopo juu zina kwenda kwa mwendo gani!!? je kama mwendo huo ukipungua nini kinatokea!!? na mwendo huo ukizidi nn kinatokea!!? unafahamu dunia inazunguka jua kwa mwendo gani kwa saa!!? na inazunguka mwendo gani ikiwa inajizungusha kwenye muhimili wake kutengeneza usiku na mchana!!? umesha wahi kufuatilia baadhi za vyombo mwendo wake vikiwa safarini nje ya dunia kuzuru anga!!? na hapa duniani umesha wahi sikia chombo kilicho vunja rekodi ya mwendo wa aridhini kilikua kinakwenda mwendo gani kwa lisaa limoja!!? mambo ni mengi muda ni mchache
Kwa mfano nikikwambia prove kua kuna chombo anga la juu karibu na jua. Utaanza ooh unajua ndo tulivoambiwa. [emoji23]

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Inanishangaza San mm hiki kitu wanachofanya Hawa wazungu Ni sawa na kwenda kumchokoza muumba wa vitu hvyo

Alfu unasema. Speed ya chombo Ni km/h 194 kwa second hiyo kitu HAKIWEZEKANI YAANI HATA KWA MACHO AKIONEKANI hpn kwa kweli duh kufumba na kufumbua km 194. Hap na Moro kwa sec
Hiki ni kitu hakiwezekaniki, ila kabla ya kumpinga ngoja tutafute ukweli tuone
 
Back
Top Bottom