Naona huwajui wanawake huyu jamaa akilalaAnaonyesha kujari hataki mangonjwa kuwa mwaminifu Kama mkeo akizudiwa anatumia condom na heshima yake haibanduki milele .
Mpende Sana mkeo huyo Ni wife material trust me
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya riki acha kutuigizia mwanetu 😂😂😂Me nimeweka utani pembeni namchana mwana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si ajabu na yeye mkeo ni mpigwaji mzuri tu, kajiongeza.Najiuliza je nizitumie uko niendako au nirudi nazo?
Je nikizitumia itakuwaje nitaporudi?
Msaada tafadhali.
Mmmh hapana anampa angalizo mumewe kuwa makini ktk kujali afya zao.pole sana mkuu,mkeo ashakusoma tabia yako,na amekata tamaa,kifupi hakuamini tena lazima na yeye kuna sehemu huenda kupoza maumivu
Na wwe muachie ndomu kadhaaNajiuliza je nizitumie uko niendako au nirudi nazo?
Je nikizitumia itakuwaje nitaporudi?
Msaada tafadhali.
Ooh kumbe?Mmmh hapana anampa angalizo mumewe kuwa makini ktk kujali afya zao.
Mkuu una uhakika hakitawaka?Tumia nusu Kwa namna yoyote ile zingine rudi nazo,atakuamini zaidi yeye anajua alichofanya.
Yeye kabakiza zake za kutumia kipindi ukiwa safarini?Najiuliza je nizitumie uko niendako au nirudi nazo?
Je nikizitumia itakuwaje nitaporudi?
Msaada tafadhali.
Na hichi ndo chakwanza kilichonijia akilini!!. Akuwekee ndom yeye je anabakije..?😅Naye anabaki huku anagongwa.. Tafsiri nyepesi kabisa.
Ziko na condoms nyingine kabaki Nazo kwa matumizi yake wewe utakapokuwa safariniNajiuliza je nizitumie uko niendako au nirudi nazo?
Je nikizitumia itakuwaje nitaporudi?
Msaada tafadhali.
hakiwaki yeye pia anazo za akiba kwa ajili yakeMkuu una uhakika hakitawaka?
[emoji848][emoji848][emoji848]Na hichi ndo chakwanza kilichonijia akilini!!. Akuwekee ndom yeye je anabakije..?[emoji28]
Inauma,inauma sana..[emoji23]