Nasafiri, waifu kaniwekea kondom kwenye begi

Anaonyesha kujari hataki mangonjwa kuwa mwaminifu Kama mkeo akizudiwa anatumia condom na heshima yake haibanduki milele .

Mpende Sana mkeo huyo Ni wife material trust me

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona huwajui wanawake huyu jamaa akilala
nae asifunge jicho moja. Anaweza fanyiwa kitu mbaya maana hujui why anafanya hivyo either hampendi mmewe wala hana wivu kwa lolote atakalofanya sawa tu, au ana yeye anagawa sana nje au ana mtu wake anayempenda
 
Huyo ulikuwa unamuwakia na uchebe kidgo angalau hta vibao 2vitatu hawana maana hao usikute nae anatafuta uhalali wa kuendelea na tabia yake mbaya....
 
pole sana mkuu,mkeo ashakusoma tabia yako,na amekata tamaa,kifupi hakuamini tena lazima na yeye kuna sehemu huenda kupoza maumivu
 
Najiuliza je nizitumie uko niendako au nirudi nazo?

Je nikizitumia itakuwaje nitaporudi?

Msaada tafadhali.
Si ajabu na yeye mkeo ni mpigwaji mzuri tu, kajiongeza.




Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Huyo n wife material, anajali San afya, familia na future zenu.
 
pole sana mkuu,mkeo ashakusoma tabia yako,na amekata tamaa,kifupi hakuamini tena lazima na yeye kuna sehemu huenda kupoza maumivu
Mmmh hapana anampa angalizo mumewe kuwa makini ktk kujali afya zao.
 
Kwa ubinadamu wako unaweza kutekwa na shetani, basi tumia umlinde mkeo
 
Anajua maisha yako ya kabla ya kumuoa? Like mlishakuwa friends kabla ya kuwa wapenzi? Hukuwahi kumuadithia habari za ujana wako? Unapoenda hakuna Ex wako ambapo mkeo anafaham pia?

Kama kuna moja lenye ukweli kwenye hayo maswali, tumia tuu.
 
Naye anabaki huku anagongwa.. Tafsiri nyepesi kabisa.
Na hichi ndo chakwanza kilichonijia akilini!!. Akuwekee ndom yeye je anabakije..?😅

Inauma,inauma sana..😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…