Nasaka mume

Jamani watu kwa kufukua makaburi hamjambo....khaaaa!!!!
Yaani nilichoandika kwenye lile swali kilikuwa cha JLW... Yaani nilipoona ni LOVE CONNECT wallah nikaediti fasta... BACK TO MY QUESTION... Ulimapata? Usijali kama ni kabuiri tunafukua au ndo tunazika upya....
 
Yaani nilichoandika kwenye lile swali kilikuwa cha JLW... Yaani nilipoona ni LOVE CONNECT wallah nikaediti fasta... BACK TO MY QUESTION... Ulimapata? Usijali kama ni kabuiri tunafukua au ndo tunazika upya....
Hapa naona unazika upya aisee
 
hii ndio JF bwana,wazee wa kufukua makaburi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hahaha madam B.. ww tena? Njoo inbox
 
Hadi leo hujafanikiwa?
 
Kwa Ninayoyaona Humu Mume wako atapata shida sana, anyways Bahati Njema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…