mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Marekani ilijinasibu kupeleka mfumo wake wa ulinzi wa anga nchini ukraine kwa mbwembwe na watu wakaamini kuwa sasa suluhisho la missile za urusi limepatikana!
Kinyume chake tarehe 15/11/2022 Ukraine na wapambe wake wanalia kuwa nusu ya ya mifumo ya umeme imehariwa baada ya Urusi kushambulia kwa nguvu zaidi tangu vita vilipoanza na ikarusha missiles 100 kwa siku moja!
Sasa tunajiuliza huu mfumo wa ulinzi wa anga NASAMS ulikuwa umesinzia au?
Ukraine says almost half of the country’s power infrastructure needs repair following waves of Russian aerial attacks that have disrupted electricity supplies for millions of Ukrainians.
“Only on November 15, Russia fired about 100 missiles at Ukrainian cities.
Nearly half of our energy system has been disabled,” Prime Minister Denys Shmygal said while appealing to Ukraine’s European allies for support.
Kinyume chake tarehe 15/11/2022 Ukraine na wapambe wake wanalia kuwa nusu ya ya mifumo ya umeme imehariwa baada ya Urusi kushambulia kwa nguvu zaidi tangu vita vilipoanza na ikarusha missiles 100 kwa siku moja!
Sasa tunajiuliza huu mfumo wa ulinzi wa anga NASAMS ulikuwa umesinzia au?
Ukraine says almost half of the country’s power infrastructure needs repair following waves of Russian aerial attacks that have disrupted electricity supplies for millions of Ukrainians.
“Only on November 15, Russia fired about 100 missiles at Ukrainian cities.
Nearly half of our energy system has been disabled,” Prime Minister Denys Shmygal said while appealing to Ukraine’s European allies for support.