NASAMS (Advanced Air Defense System) toka Marekani ilikuwa imepiga usingizi au?

NASAMS (Advanced Air Defense System) toka Marekani ilikuwa imepiga usingizi au?

Hamna kitu nafurahia zaidi katika OP hii kama nikisoma kua ghala za silaha kutoka Magharibi zimelipuliwa na makombora ya Urusi.
Nafurahi sana kwa kweli.
Furaha yangu ni kwamba,silaha hizo ndio zinaleta mateso kwa Wananchi wa Ukraine maana zingefika field zinasababisha vita iwe ndefu TU.
Pili furaha yangu ni kuwatia hasara wa NATO TU.
Tatu. Ni kwadhalilisha USA na NATO.
Nne kwa vile maghala hayo huweka silaha zote za west kwa ajili ya kuzipeleka front basi nafurahi Kisha ikibtu kua pengine kombora moja au mbili au tatu TU za Urusi zimeteketeza masilaha kibao ya west. Yaani ni Raha Fulani TU hivi.
Kwa kifupi katika maisha ya NATO,NATO haikuwahi kukutana na mtihani Mgumu kama huu amabao imeshindwa hata ku attempt hata swali moja.
NATO inapitia katika kipindi kigumu mno.
NATO inadhalilishwa na inadhalilika.
NATO inateswa na inateseka.
NATO inasimangwa na inasimangika.
Iko wapi Ile NATO iliyoipiga mabumu Yugoslavia,
Iko wapi NATO iliyoipiga Iraq ya Sadam Husein na operation Desert storm?
Iko wapi NATO iliyowasaidia waasi kumtoa Muamar Gaddafi?
Iko wapi NATO iliyoenda Afghanistan kuwapiga watalaban walioongizwa na Mullah Omar Mohamed na Rafiki yake Osam bin laden?.

Leo hii Nchi ya Ukraine kipenzi Cha west na NATO amabyo,Rais wake anapewa nafasi ya kuhutubia mabunge ya nchi zote za west, na Blocks zote za west anapigwa na Urusi mchana na usiku,miundombinu inaharibiwa lakini west wako madirishani wanachungulia TU.wanaishia kukaa vikao Kila kukicha kuchangishana vijisilaha na fedha, lakini kuingia moja kwa moja kama walivyo fanya kwa mataifa mengine hawaingii.mafano Kuwait,Iraq, Afghanistan, Yugoslavia na Libya.
Iko wapi NATO hiyo?
wewe ni mimi mtupu[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
 
Hakuna air defence system duniani ambayo ni 100% foolproof na ndio maana hata Russia yenyewe Ukraine wamekuwa wakiwarushia makombora na kuwapiga vizuri tu, hivyo hamna cha ajabu hapo.

Lakini kinachotushangaza zaidi ni Russia kushindwa kabisa kumaliza hii vita na karibu mwaka unaenda kwisha na hakuna kabisa dalili ya wao kufanikisha lengo lao pamoja na kuishiwa wanajeshi na kupeleka hadi wafungwa vitani. Very shameful indeed.
Nahisi mrusi anataka kuwafanya west wakose uvumilivu hadi wapishane kauli na kusambaratika km USSR ilivyosambaratika
 
Nikuulize kama una ubavu wa kujibu: Marekani na NATO kwa ujumla walipigana na Taliban kwa miaka mingapi na hatimaye Marekani akakimbia na kutelekeza silaha kibao nyuma yake? Je Marekani alipokimbia kichapo nchini Somalia ulikuwepo au hujawahi kusikia? Je ulishasikia kichapo alichokuwa anapata Marekani nchini Vietnum?
Vifaa walivyoacha Afghanistan vilikuwa ni obsolete ndio maana waliamua kuviacha huko. Nchini Somalia Marekani na mataifa mengine walikuwa pale kwa ajili ya kulinda amani peace keeping mission na hawakuwa kwenye combat mission ndio maana wale wasomalia waliwafanyia ambush kivile.

Vietnam vilevile ilikuwa ni kama Afghanistan ambapo walipoteza logical reasons za kuendelea kukaa huko na wakaamua kuondoka.
Nahisi mrusi anataka kuwafanya west wakose uvumilivu hadi wapishane kauli na kusambaratika km USSR ilivyosambaratika
Sasa nchi za magharibi utazifananishaje na USSR, kweli unafahamu USSR ilivyokuwa..!!!
 
Hakuna air defence system duniani ambayo ni 100% foolproof na ndio maana hata Russia yenyewe Ukraine wamekuwa wakiwarushia makombora na kuwapiga vizuri tu, hivyo hamna cha ajabu hapo.

Lakini kinachotushangaza zaidi ni Russia kushindwa kabisa kumaliza hii vita na karibu mwaka unaenda kwisha na hakuna kabisa dalili ya wao kufanikisha lengo lao pamoja na kuishiwa wanajeshi na kupeleka hadi wafungwa vitani. Very shameful indeed.
Supa-pawa anakwama wapi?
lee van cliff
 
Vifaa walivyoacha Afghanistan vilikuwa ni obsolete ndio maana waliamua kuviacha huko. Nchini Somalia Marekani na mataifa mengine walikuwa pale kwa ajili ya kulinda amani peace keeping mission na hawakuwa kwenye combat mission ndio maana wale wasomalia waliwafanyia ambush kivile.

Vietnam vilevile ilikuwa ni kama Afghanistan ambapo walipoteza logical reasons za kuendelea kukaa huko na wakaamua kuondoka.

Sasa nchi za magharibi utazifananishaje na USSR, kweli unafahamu USSR ilivyokuwa..!!!
Ujamaa kijeshi kiutawala kiuchumi kiteknolojia na kufanya maamuzi kwa maslahi ya ussr, kitu ambacho nato hawakukipenda, ndio maana unaskia kila mmoja wao analialia NWO
 
Hamna kitu nafurahia zaidi katika OP hii kama nikisoma kua ghala za silaha kutoka Magharibi zimelipuliwa na makombora ya Urusi.
Nafurahi sana kwa kweli.
Furaha yangu ni kwamba,silaha hizo ndio zinaleta mateso kwa Wananchi wa Ukraine maana zingefika field zinasababisha vita iwe ndefu TU.
Pili furaha yangu ni kuwatia hasara wa NATO TU.
Tatu. Ni kwadhalilisha USA na NATO.
Nne kwa vile maghala hayo huweka silaha zote za west kwa ajili ya kuzipeleka front basi nafurahi Kisha ikibtu kua pengine kombora moja au mbili au tatu TU za Urusi zimeteketeza masilaha kibao ya west. Yaani ni Raha Fulani TU hivi.
Kwa kifupi katika maisha ya NATO,NATO haikuwahi kukutana na mtihani Mgumu kama huu amabao imeshindwa hata ku attempt hata swali moja.
NATO inapitia katika kipindi kigumu mno.
NATO inadhalilishwa na inadhalilika.
NATO inateswa na inateseka.
NATO inasimangwa na inasimangika.
Iko wapi Ile NATO iliyoipiga mabumu Yugoslavia,
Iko wapi NATO iliyoipiga Iraq ya Sadam Husein na operation Desert storm?
Iko wapi NATO iliyowasaidia waasi kumtoa Muamar Gaddafi?
Iko wapi NATO iliyoenda Afghanistan kuwapiga watalaban walioongizwa na Mullah Omar Mohamed na Rafiki yake Osam bin laden?.

Leo hii Nchi ya Ukraine kipenzi Cha west na NATO amabyo,Rais wake anapewa nafasi ya kuhutubia mabunge ya nchi zote za west, na Blocks zote za west anapigwa na Urusi mchana na usiku,miundombinu inaharibiwa lakini west wako madirishani wanachungulia TU.wanaishia kukaa vikao Kila kukicha kuchangishana vijisilaha na fedha, lakini kuingia moja kwa moja kama walivyo fanya kwa mataifa mengine hawaingii.mafano Kuwait,Iraq, Afghanistan, Yugoslavia na Libya.
Iko wapi NATO hiyo?
Gharama za Vita tunazilipa sisi mataifa madogo, kama wanakuja wanachukua vitu kwa bei ya chini alafu unafurahia, wewe ndio unaepoteza Katika mizania
 
Back
Top Bottom