Naseeb Abdul maarufu kama 'Diamond' ashikiliwa na Polisi kwa muda

n00b

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2008
Posts
1,015
Reaction score
2,680
MSANII Naseeb Abdul (Diamond) leo anashikiliwa na polisi, siku moja tu baada Meneja wake Babu Tale kuhojiwa na kulala mahabusu kuhusiana na matumizi ya mavazi ya kijeshi katika onyesho la Fiesta mwishoni wiki.

Habari zaidi zitafuata.



=======================================================================================


 
MSANII Naseeb Abdul (Diamond) leo anashikiliwa na polisi, siku moja tu baada Meneja wake Babu Tale kuhojiwa na kulala mahabusu kuhusiana na matumizi ya mavazi ya kijeshi katika onyesho la Fiesta mwishoni wiki.

Ukicheka na mbwa atakufuata msikitini! hawa kina Diamondo and the so called No school billioneas; mamlaka zikicheka cheka nao sana haya ndio matokeo; kanafikiri nchi iko mfukoni mwake. kama CDM kuandamana ni kuvunja sheria basi kuvaa sare za jeshi ni kuvunja sheria pia tumeambiwa hivyo, sasa hebu tuone kama PoliCCM watamgwaya "prezida" wa bongo flava!
 
Wanafanya nae maongezi tuu watamuachia muda si mrefu!
 
Kama ni sare kweli za Jeshi mwisho wake umefika.
 
ila sheria znaruhusu endapo alikuwa na kibari nothng to judge kuhusu ilo
 
watamwachia tu , yeye ndiye aliyemfanyia kampeni jk mwaka 2010 kwani ccm walimlipa . nawashauri jwtz wampe kwanza virungu
 
Ataachiwa tu...hakuna ishu hapo!!!
 
acheni uongo nyie... alipewa kibali... kumchafua tuu ndo mjuavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…