Nasema hivi, Mume anauma!

Huu ushauri mnaotoa wanaume nimeamini hata nyie hampendani 😂😂
 
Kwahiyo yeye tu ndo ana hisia? Mi zangu aahh…

Acha kutetea sana wanaume bwana. Akizingua nitapiga chini kwani sh ngapi. Nitateseka ndio ila sio milele.
 
Sijui unafeli wapi? 🤣🤣
Huyo mbwiga ushaijua michezo yake na wewe mpandishe cheo bana weeh.!
Kila nikiongeza glass ya wine hasira inapanda halafu nawaza labda nifanye tu na mimi
Tit for Tat hasira yangu iishe tuishi kama zamani.

Maana hata mwaka jana si alikuwa nae ila sababu sikujua na sikuwa na hasira tuliishi tu poa
 
Bibie unalia kwasababu mwanaume ame cheat hapana hao ndivyo walivyo futa machozi
Kula kitu roho inapenda jitoe out maisha yenye mafupi mwache atambe fainal uzeeni
 
Mnayumba nyie wajomba vibenten vinawasaidia kwa wake zenu..!
Umeona hapo ex anatafutwa apewe mzigo wa mke na mchepuko.! We huogopi? 🤣🤣🤣
Yote tisa! Ni vle tu we mwanamke ila ungekua mwanaume ukaonja hawa tutoto twa buku mbili ungeowaoa wote
 
Kwamba ulikua unatema Big G kwa karanga za kuonjeshwa
 
Mi hata simuombei mabaya. Ila aniachie huyu baba jamani, sio issue
Sijachelewa unaniruhusu kuja pm kwako?

Hizi kazi nimeshafanya sana hata kurogwa nimerogwa nishatoka posa mara4 hii itakuwa ya5 Sasa.

Ni amini sitakuangusha abadani!!


Ukitaka nisimulie kisa hata kimoja nipo Tyr kabisa.
 
Kuna comment moja nilisomaga nikakuona wewe ni certified bitch. Kuwa kuna dada alilalamika kumchoka mume japo anapata kila kitu ukamlaumu kuwa huwa mnatafuta mwenye kupiga show show nje kimya kimya tu.

Sasa, karma is a bitch. And by your attitude you seem to be a pro bitch.

Near retirement. That's why you always keep posting your bitchyyyy CV in here to attract clueless mofos.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…