Huu ushauri mnaotoa wanaume nimeamini hata nyie hampendani 😂😂Kosa unalo fanya ni kuficha Mali.
Toa Mali tena kipindi hiki ungeitoa kwa mwamba kiukweli kweli kama paka shume la bar.
Ila naona mwamba ndio anashinda maana kwako kalamba na huko anaenda kulamba, akimaliza anarudi kwako anakulamba tena, ukikataa atasema ataweka Siri kwa mwamba.
Jamani.Utazoea jipe muda.
Dah! Sema mishangazi wa jf mnayumba sana imagine waume zenu wanachagua madogo wa 2000 kuliko nyieUchinjwe xmas 😂😂😂
Sasa ungekuwa na balaa usingelia bafuni, wewe hapo mpuuze Ila hakikisha ajue km umejua..!! Hiyo itamtesa sana hatojiamini tena.!!Hawezi kuwa na balaa zaidi yangu bwana. Hilo nalijua; basi tu wanaume ni fisi. Aaarghhh
Mnayumba nyie wajomba vibenten vinawasaidia kwa wake zenu..!Dah! Sema mishangazi wa jf mnayumba sana imagine waume zenu wanachagua madogo wa 2000 kuliko nyie
Kwahiyo yeye tu ndo ana hisia? Mi zangu aahh…Ushaur Wangu Kaa mbali Na Uyo ex IV unafkiri siku akienda kumwambia mumeo kuwa ulimtuma akamatongoze Uyo binti mumeo atakuekewa????? Unafkir mumeo hatahisi mna kitu kinaendelea Na Uyo ex...hii kesi ikienda Kwa wazazi wewe utaonekana mkosefu mwanamke kosa la mumeo kucheat halitakuwa Na uzito Ila wewe kosa lako kuwasiliana Na ex ishu YA ndani hivo utaonekana mkosefu
😋Nini sasa??😄
Sijui unafeli wapi? 🤣🤣😂😂😂😂nifanye evaluation ya balaa au sio?
Kila nikiongeza glass ya wine hasira inapanda halafu nawaza labda nifanye tu na mimiSijui unafeli wapi? 🤣🤣
Huyo mbwiga ushaijua michezo yake na wewe mpandishe cheo bana weeh.!
Yote tisa! Ni vle tu we mwanamke ila ungekua mwanaume ukaonja hawa tutoto twa buku mbili ungeowaoa woteMnayumba nyie wajomba vibenten vinawasaidia kwa wake zenu..!
Umeona hapo ex anatafutwa apewe mzigo wa mke na mchepuko.! We huogopi? 🤣🤣🤣
Kwamba ulikua unatema Big G kwa karanga za kuonjeshwaKwa kweli Mkuu
Isingekuwa kuingilia Uzi wa watu, ningeeleza kisa kimoja kilichonitokea miaka fulani na hao hao mabinti wa 2000
Yaani bila familia yangu kuingilia kati, ilibaki kidogo nimpatie yule binti hati ya mashamba yangu yote
Ni bora tumezeeka tu 🙌
Sijachelewa unaniruhusu kuja pm kwako?Mi hata simuombei mabaya. Ila aniachie huyu baba jamani, sio issue
Kuna comment moja nilisomaga nikakuona wewe ni certified bitch. Kuwa kuna dada alilalamika kumchoka mume japo anapata kila kitu ukamlaumu kuwa huwa mnatafuta mwenye kupiga show show nje kimya kimya tu.Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa
Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.
Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.
Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.
My analysis of the situation;
Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.
Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.
Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…
Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Kukomeshwa gani kwa namna hiyo?. Wanaweza kuoana sasa.Safi sana...huyo mwizi akomeshwe ...