Nasema hivi, Mume anauma!

Nasema hivi, Mume anauma!

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…
Huu ndio ujinga pro ulionao unaninyima Chini unategemea nini hiki kichupa kikijaa nikazipunguzie Wapi nipige nyeto wakati nimekulipia Ng'ombe kadhaa nikabeba Ng'ombe mmoja nikaishi nae ndani?
 
Eh we nawe mzito jamani
Unatakiwa ukigundua kila siku tunaenda kuoga pamoja zikimwagwa mwagwa km Wiki mtoto wa 2000 anawekwa mbali sana na ukilala lala bila chupi hata ukiwa periodic table ili nikukague, nimekupa Siri ya kambini sasa akili kichwani mwako ukihisi unakomoa kumbe unajikomoa maana ukivuruga kwa huyo anatafutwa mwingine sasa utawavuruga wangapi?
 
Unatakiwa ukigundua kila siku tunaenda kuoga pamoja zikimwagwa mwagwa km Wiki mtoto wa 2000 anawekwa mbali sana na ukilala lala bila chupi hata ukiwa periodic table ili nikukague, nimekupa Siri ya kambini sasa akili kichwani mwako ukihisi unakomoa kumbe unajikomoa maana ukivuruga kwa huyo anatafutwa mwingine sasa utawavuruga wangapi?
Mkuu hebu soma tena kwa kutulia.

Hakuna siku nimewahi kumyima sex bwana. Hivi vya sasa hivi ni maumivu tu, siwezi. Lakini sina hiyo historia.

Na mimi sio wa kufundwa kuhusu sex maana mi mwenyewe napenda. Save your energy
 
Sasa kusalitiwa kuna harakati Mkuu? Mtu kaamua kufanya yake harakati zako zitazuiaje?
Nimekupa Siri ya kambi Mwanaume anafuata Chini mpe Chini mpaka anyooshe mikono juu, hio ndio Dawa hizo zingine harakati za kujisumbua maana ukiziba na kule ukiziba atatafuta kidobo kingine akimwagie
 
Mkuu hebu soma tena kwa kutulia.

Hakuna siku nimewahi kumyima sex bwana. Hivi vya sasa hivi ni maumivu tu, siwezi. Lakini sina hiyo historia.

Na mimi sio wa kufundwa kuhusu sex maana mi mwenyewe napenda. Save your energy
Nipe tena tena this time nipe kile hujawahi kuthubutu kunipa ambacho mtoto wa 2000 ananipa tena bila masharti
 
Sasa kusalitiwa kuna harakati Mkuu? Mtu kaamua kufanya yake harakati zako zitazuiaje?
Mwaka jana na mimi ndio wife almanusura anibambe..e bwana ee pale ndio nikajua kumbe wife ananikubali eeh!!?? Alianzisha vagi hilo sio la nchi hii nikajua kweli kuibiwa sio poa.. alipeleka moto kwa yule dada mpaka hatar
 
Hakuna kujikaza naniliuuu😹😹😹

Aaah Kapeace hebu ongea nae huyu
😅😅 usaliti unauma ila sio kwa kiwango cha zuri 😅😅 wengine mioyo ishapata ganzi, halafu hizo posa atalipia wangapi?

nachoona apambane na mumewe ameishi nae anamjua kuliko mchepuko bahati nyingine aliyonayo bwana bado anamfeel hapo kwenye kumuomba tamu ni wazi huyo dogo hajamteka kiivyo,
 
Wanaume wenzangu hebu tuwe serious kidogo, ivi unawezaje kucheat hii Pisi
Km kuna kitu hupati unanyinwa na kule kwa 2000 unapata tena kila muda unaotaka utaenda Wapi ku-make fantasy yako iwe kweli? Sometimes Wanawake Mwanaume anapocheat jiulize maswali ya muhimu zaidi nini unaninyima kinachonipeleka kule
 
Back
Top Bottom