themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
Najua mnanisoma hapa,
Nimefuga rasta miaka 15 hadi kukua then naleta CV zangu kumbe mnanichora tu, mkiniambia nikanyoe kwanza nimenyoa na kazi sijapata hata kuitwa kwenye interview sikuitwa.
Nasema hivii nipeni pesa yangu fidia kunyoa rasta zangu.
The=the dem
Gwantaman
Peace and love
Nimefuga rasta miaka 15 hadi kukua then naleta CV zangu kumbe mnanichora tu, mkiniambia nikanyoe kwanza nimenyoa na kazi sijapata hata kuitwa kwenye interview sikuitwa.
Nasema hivii nipeni pesa yangu fidia kunyoa rasta zangu.
The=the dem
Gwantaman
Peace and love