Nasema hivii nirudishieni pesa yangu, nimenyoa rasta zangu nikaleta CV hata kwenye interview sijaitwa si ujinga huu

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,033
Reaction score
3,720
Najua mnanisoma hapa,

Nimefuga rasta miaka 15 hadi kukua then naleta CV zangu kumbe mnanichora tu, mkiniambia nikanyoe kwanza nimenyoa na kazi sijapata hata kuitwa kwenye interview sikuitwa.

Nasema hivii nipeni pesa yangu fidia kunyoa rasta zangu.

The=the dem

Gwantaman

Peace and love
 
NIMESOMA KICHWA CHA HABARI YAANI NIMECHEKA KWA MUDA MREFU BILA KUTAKA WALLAH, YAANI DUH MUNA VITUKO AISEEEEE
 
[emoji38][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Nchi huru hii mkuu kama unawajua wataje kwa majina..........
 
Haaa haaaaa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Pole ila kuna watu wengi mnoooo wenye sifa na vigezo kama wewe na wao waliomba kazi hiyo hiyo. Ukilijua hilo wala hutaumia kukosa kuitwa kwenye interview maana wakati mwingine nafasi yenyewe moja. Mwenye nyota yake ndiye atakae pata.
 
kwa hasira nenda kanye nje ya ofisi yao kila siku wakija asubuhi wazoe mavi yako
gwala man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…