Nasema hivii nirudishieni pesa yangu, nimenyoa rasta zangu nikaleta CV hata kwenye interview sijaitwa si ujinga huu

Mkuu pole sana kama ni kweli.

Huu uzi umenichekesha sana .... 😀😀😀😀😀😀
 
Police siku hizi wamekatazwa kuteketeza mashamba ya bangi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa mkuu application tu ndio ukanyoa rasta? Interview ungenyoa nini sasa... na ungepata hiyo kazi ungenyoa nini tena.

Jah bless yah man
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna vitu hivi zingatia
. kuitwa kwenye usaili wa mwanzo
. kushauriwa cha kufanya kwenye usaili wa mwanzo
. kupitishwa kwenye mchujo
. kuitwa kwenye usaili wa pili
. kukubaliwa, kukataliwa ana kuwekwa hakiba
 
Kuna mmoja nasikia alteguka shingo. Aliumwa wakamnyoa nywele. Alipozinduka hakujua kama kanyolewa. Alipoitwa alitumia nguvu nyingi kugeuza shingo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…