Tiger B
Senior Member
- Dec 21, 2016
- 172
- 229
Kuabstain ndo njia pekee salama ya kujiepusha na UKIMWI na virusi vyake, pamoja na magonjwa mengine. Ewe kijana wa kike na wa kiume ambaye hujaoa au kuolewa; majuto ni mjukuu. Usicheze na maisha, jitahidi kuwa na subra.
Na ninyi mlio ndoani hebu tulizaneni huko! Muogopeni Mungu.
Pasaka Njema.
Na ninyi mlio ndoani hebu tulizaneni huko! Muogopeni Mungu.
Pasaka Njema.