Mkuu!! Umesemea jambo zuri sana kiukweli, sasa tatizo nikwamba ukikaa single inahitaji uwe na moyo mgumu ujue, kwanza hitaji na msukumo wa mwili kama kiumbe aliye hai nichangamoto, ila pia kwa vijana kuna kitu tunakiita mob psychology from our peer groups, unaonekana boya sana kama huna hata demu wa kusingiziwa,
In conclusion, the best way to avoid sexually transmitted diseases is through abstaining ourselves from sexuality, different from that we gonna get die alive!