Nash mc namkubali kwa nyimbo mbili

Huyu jamaa nilikua namkubali sana mwazo, kuanzia mitihati,mapendo,tabia, kakasuma, zima n.k,,ila baadae nikaanza kupata ukakasi baada ya jamaa kua anaponda kila msanii mwenye mafanikio kumshinda yeye na media kubwa zote..jamaa ni mjuaji na mwenye wivu hana lolote.
 
Mimi huwa namchora tu aingie kwenye 18 zangu nitamfuta mpaka kwao temeke nimtandike vibao namsubiria Sana ayakanyage aingie kwenye anga zangu yaani namtamani sana
 
Maisha baada ya chuo
Mapendo
Kaka suma
Naandika
Hasi 13
Shujaa
Tabia

Kiufupi albam zake zote ninazo na sichoki kumsikiliza Nash mcee
 
alimponda nani?
 
-Mitihani
-Maalim Ponda
-Shujaa
-Beti
-Ongea na Mwanao.

Long live maalim Nash a.k.a Nash Qaida.

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…