Nashangazwa na ubishi wa pesa za Abdul.

Nashangazwa na ubishi wa pesa za Abdul.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Wiki iliyopita nilikuwa napita ghetto usiku saa mbili hivi, nikawaona watoto wachache wamekaa pale,wasichana nikatoa offer,nikawapa sh.1000(elfu moja) buku. Wakaikataa.
Sasa,I was very shocked. Ile hela nikaichana kwa hasira zangu,nikawaachia pale, nikaondoka.
Ingawa,kwa kweli,siyo jambo zuri.
Mtu lazima azoee taabu mapema katika maisha yake ili yakitokea matatizo asifanye uamuzi wa kukurupuka.
Nikawaacha pale wanasema ,"Surely huyu mtu ni muovu sana,anachana hela,tumpeleke mahakamani".
Sasa Abdul amewapa Hawa watu hela,wanakasirika kupewa hela. Hii haieleweki.
Binadamu anapaswa kuwa na roho ya kupenda hela.
Ingawa pale inawezekana pia kwamba Abdul alikuwa anamtishia maisha Lissu kwa ajili amesema.
 
Wiki iliyopita nilikuwa napita ghetto usiku saa mbili hivi, nikawaona watoto wachache wamekaa pale,wasichana nikatoa offer,nikawapa sh.1000(elfu moja) buku. Wakaikataa.
Sasa,I was very shocked. Ile hela nikaichana kwa hasira zangu,nikawaachia pale, nikaondoka.
Nikawaacha pale wanasema ,"Surely huyu mtu ni muovu sana,anachana hela,tumpeleke mahakamani".
Sasa Abdul amewapa Hawa watu hela,wanakasirika kupewa hela. Hii haieleweki.
Binadamu anapaswa kuwa na roho ya kupenda hela.
Ingawa pale inawezekana pia kwamba Abdul alikuwa anamtishia maisha Lissu kwa ajili amesema.
Duuu!!
 
FB_IMG_1734715524306.jpg
 
Wiki iliyopita nilikuwa napita ghetto usiku saa mbili hivi, nikawaona watoto wachache wamekaa pale,wasichana nikatoa offer,nikawapa sh.1000(elfu moja) buku. Wakaikataa.
Sasa,I was very shocked. Ile hela nikaichana kwa hasira zangu,nikawaachia pale, nikaondoka.
Nikawaacha pale wanasema ,"Surely huyu mtu ni muovu sana,anachana hela,tumpeleke mahakamani".
Sasa Abdul amewapa Hawa watu hela,wanakasirika kupewa hela. Hii haieleweki.
Binadamu anapaswa kuwa na roho ya kupenda hela.
Ingawa pale inawezekana pia kwamba Abdul alikuwa anamtishia maisha Lissu kwa ajili amesema.
Brother Andy siyo kila hela ni ya kupokea bila kuhoji malengo ya hela hiyo. Lissu alikataa hela ya Abdul kwa vile ililenga kumziba mdomo asihoji status ya Abdu ndani ya serikali yetu ya Tanganyika,Abdul alikwenda Uganda kuongoza ujumbe wa serikali kwa wadhifa gani alionao serikalini? Hela yake ililenga kumnyima Lissu haki yake ya kikatiba ya kutoa maoni na kuhoji. Ingekuwa wewe ungekubali hela ya namna hiyo? Umenikumbusha ile hela uliyokuwa unagombea na vitoto kule Mwitongo hadi ukakimbilia Dar.
 
Wiki iliyopita nilikuwa napita ghetto usiku saa mbili hivi, nikawaona watoto wachache wamekaa pale,wasichana nikatoa offer,nikawapa sh.1000(elfu moja) buku. Wakaikataa.
Sasa,I was very shocked. Ile hela nikaichana kwa hasira zangu,nikawaachia pale, nikaondoka.
Nikawaacha pale wanasema ,"Surely huyu mtu ni muovu sana,anachana hela,tumpeleke mahakamani".
Sasa Abdul amewapa Hawa watu hela,wanakasirika kupewa hela. Hii haieleweki.
Binadamu anapaswa kuwa na roho ya kupenda hela.
Ingawa pale inawezekana pia kwamba Abdul alikuwa anamtishia maisha Lissu kwa ajili amesema.
Hela nyingine za moto.
 
Imeandikwa katika Msahafu,"Tenda wema."
Sasa mtu anakufanyia wema unashangaa.
 
Ukachana buku yenye picha ya babako?

Anyway, Kuna watu wanabeep pabaya Kwa kujaribu kumrudisha Sultani.

Halafu Lissu Si wa kutishiwa maisha, HOFU haikai ndani yake.

Tusubiri!
 
Back
Top Bottom