Nashauri Babu Hans apewe timu ya Taifa

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
Hans Van pluijm mwalimu wa kidachi na inafahamika wadachi wanafahamika kwa mpira wa kuvutia wa total football. Babu Hans kiukweli yupo vizuri na soka la bongo analijua na sio Bongo tu hata Africa kwa ujumla sababu ya uzoefu wake.

Leo hii tumeiona singida united tofauti na vilabu vingine kama coastal, Prisons ,Ruvu nk ...Singida united inayopiga pass na flow za pass zinaonekana na building ya timu inaanzia nyuma kipa habutui bali anaanza mashambulizi kwa pass fupi kwa beki zake.Huyu mwalimu anajua kuijenga timu kimifumo

Ingekuwa ndio mimi ningempa majukumu ya kuinoa timu ya taifa,Babu anajua tokea aondoke yanga saizi yanga ule mpira wa kuvutia hamna tena

 
Umeongea kweli kabisa! Timu sasa inamapungufu madogo sana. Hans ni bonge la kocha. Kuna watu wanaleta ubishi wa kishamba tu.
 
Mwacheni aijenge Singida United
 
hapa ndio unajiuliza busara ya uongozi wa Yanga kumtupa kama tambara bovu na kukimbilia kwa Lwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…