py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Hans Van pluijm mwalimu wa kidachi na inafahamika wadachi wanafahamika kwa mpira wa kuvutia wa total football. Babu Hans kiukweli yupo vizuri na soka la bongo analijua na sio Bongo tu hata Africa kwa ujumla sababu ya uzoefu wake.
Leo hii tumeiona singida united tofauti na vilabu vingine kama coastal, Prisons ,Ruvu nk ...Singida united inayopiga pass na flow za pass zinaonekana na building ya timu inaanzia nyuma kipa habutui bali anaanza mashambulizi kwa pass fupi kwa beki zake.Huyu mwalimu anajua kuijenga timu kimifumo
Ingekuwa ndio mimi ningempa majukumu ya kuinoa timu ya taifa,Babu anajua tokea aondoke yanga saizi yanga ule mpira wa kuvutia hamna tena
Leo hii tumeiona singida united tofauti na vilabu vingine kama coastal, Prisons ,Ruvu nk ...Singida united inayopiga pass na flow za pass zinaonekana na building ya timu inaanzia nyuma kipa habutui bali anaanza mashambulizi kwa pass fupi kwa beki zake.Huyu mwalimu anajua kuijenga timu kimifumo
Ingekuwa ndio mimi ningempa majukumu ya kuinoa timu ya taifa,Babu anajua tokea aondoke yanga saizi yanga ule mpira wa kuvutia hamna tena