Nashauri CHADEMA tufanye matembezi ya mshikamano kuunga mkono chama na uongozi mpya

Nashauri CHADEMA tufanye matembezi ya mshikamano kuunga mkono chama na uongozi mpya

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
CHADEMA tumefanikiwa kuvuka mtihani mgumu wa uchaguzi mkuu na kufanya mabadiliko ya safu za uongozi kwa mafanikio makubwa huku kikibaki kuwa chama chenye umoja na mfano wa kuigwa wa demokrasia nchini.

Nashauri uongozi wa CHADEMA katika siku moja yafanyike matembezi ya mshikamano kila mkoa kuunga mkono viongozi wetu na mafanikio haya.
 
Back
Top Bottom