Nashauri Dejan apangwe kwenye zile mechi zisizo na presha kubwa kwanza

Nashauri Dejan apangwe kwenye zile mechi zisizo na presha kubwa kwanza

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Au naweza kusema aingie pale ambapo timu imeshapata ushindi mzuri na game ipo mkononi kwao.

Nina imani akiweza kuonesha makali yake kwenye mchezo Mashabiki hawa wa Bongo ninaowajua wanabadilika hapo hapo na kona zote za nchi wataimba jina lake kwa mema hata mwenyewe atafurahia kuwepo Tanzania.

Kinyume cha hapo ni kuendelea kumuingiza kwenye mgogoro na mashabiki ambao kama tujuavyo wengi wao hawana subira wala staha, watamtukana na kutuingiza kama taifa kwenye kashfa ya ubaguzi.
 
Au naweza kusema aingie pale ambapo timu imeshapata ushindi mzuri na game ipo mkononi kwao.

Nina imani akiweza kuonesha makali yake kwenye mchezo Mashabiki hawa wa Bongo ninaowajua wanabadilika hapo hapo na kona zote za nchi wataimba jina lake kwa mema hata mwenyewe atafurahia kuwepo Tanzania.

Kinyume cha hapo ni kuendelea kumuingiza kwenye mgogoro na mashabiki....ambao kama tujuavyo wengi wao hawana subira wala staha...watamtukana na kutuingiza kama taifa kwenye kashfa ya ubaguzi.
Japo mie ni yanga,mpeni muda dejan mtamkubali
 
Au naweza kusema aingie pale ambapo timu imeshapata ushindi mzuri na game ipo mkononi kwao.

Nina imani akiweza kuonesha makali yake kwenye mchezo Mashabiki hawa wa Bongo ninaowajua wanabadilika hapo hapo na kona zote za nchi wataimba jina lake kwa mema hata mwenyewe atafurahia kuwepo Tanzania.

Kinyume cha hapo ni kuendelea kumuingiza kwenye mgogoro na mashabiki....ambao kama tujuavyo wengi wao hawana subira wala staha...watamtukana na kutuingiza kama taifa kwenye kashfa ya ubaguzi.
Kila nchezaji anatakiwa kujituma kwa uwezo wake wote. Kumpa mechi laini ndio kutampoteza zaidi. Acha utopolo waendelee kumsema ili apate hasira kama walizokuwa nazo kina Etoo, Henry na Drogba
 
Au naweza kusema aingie pale ambapo timu imeshapata ushindi mzuri na game ipo mkononi kwao.

Nina imani akiweza kuonesha makali yake kwenye mchezo Mashabiki hawa wa Bongo ninaowajua wanabadilika hapo hapo na kona zote za nchi wataimba jina lake kwa mema hata mwenyewe atafurahia kuwepo Tanzania.

Kinyume cha hapo ni kuendelea kumuingiza kwenye mgogoro na mashabiki....ambao kama tujuavyo wengi wao hawana subira wala staha...watamtukana na kutuingiza kama taifa kwenye kashfa ya ubaguzi.
Kwa nini mnashauri aendelee kuwepo?
Hivi Simba ni kikosi cha kufanyia majaribio?

Kama mchezaji ameflopp ulaya unadhani hapa kwetu atafanya nini?
 
Yaani apangwe mechi rahisi au ambazo simba anaongoza kwa magoli mengi ili AONYESHE MAKALI?????



Kweli hampo serious
 
Japo mie ni yanga,mpeni muda dejan mtamkubali
Ndio maana nimeshauri waepuka kumuweka kwenye mazingira ya presha kwanza mpka atakapo gain momentum...naamini atakuja kuwa sawa tu na Wanasimba watamkubali.
 
Kwa nini mnashauri aendelee kuwepo?
Hivi Simba ni kikosi cha kufanyia majaribio?

Kama mchezaji ameflopp ulaya unadhani hapa kwetu atafanya nini?
Amecheza dakika ngapi mpaka tuhitimishe kuwa ame flop?...tusimuonee aise, yule Kijana nae anatafuta ati.
 
Kama ni flop hatakiwi kuwepo Simba, aonyweshe mlango wa kutokea, mchezaji anayemweka Moses Phiri nje lazima awe na kitu cha ziada vinginevyo ni upuuzi kutetea flop kwa kuwa ni mzungu tu.
 
Hamna mchezaji hapo, tuache kuremba maneno....

Hana na hatokuwa na Jipyaa...ni heri mngebaki na Kagere au Mugalu mkivizia kupata sign ya Manzoki...

Washauri Wasajili Striker haraka. Dejan ni Afisa Sensa...
 
Yaani apangwe mechi rahisi au ambazo simba anaongoza kwa magoli mengi ili AONYESHE MAKALI?????



Kweli hampo serious
Sijamaanisha kuwa lengo kuu ni kuonesha makali bali ni ili acheze akiwa na pesha ndogo na hata Mashabiki watakuwa wame relax...anaweza akatuliza akili akafanya kilicho ndani ya uwezo wake.

Other wise ni kumtesa tu kumchezesha katika mazingira yaliyojitokeza ambapo Mashabiki wapo tayari kumuangushia yeyote zigo iwapo matokeo hayatokuwa upande wao.

Jaribu kufikiria tupo dakika ya 80 tumefungwa goli moja alafu Mashabiki wamuone anapasha....sipati picha.

Huenda kijana ana kitu ila inahitajika sana mbinu za Kocha kumuepusha na hasira za Mashabiki ndio aoneshe alichojaliwa.
 
Back
Top Bottom