Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mambo ya vazi la taifa hayawezekani maana ni vitu ambavyo vinatokana na utamaduni tu tangu zamani. Wajanja walijipanga wakapiga ela eti wanatafuta kubuni vazi la taifa.Wakuu kama mnavyojua kuna mchakato wa kutafuta vazi la taifa huko na kuna kamati zimeundwa, hizi zote zitakula muda na fedha
Nashauri vazi la taia liwe hili kwani linamtambulisha mtanzania popote pale duniani na ni la kisasa pia
View attachment 2366772
Duh...!. Hiyo si ni suti ya kizungu!. Yaani vazi la wazungu ndio tulifanye vazi letu la taifa!.Wakuu kama mnavyojua kuna mchakato wa kutafuta vazi la taifa huko na kuna kamati zimeundwa, hizi zote zitakula muda na fedha
Nashauri vazi la taia liwe hili kwani linamtambulisha mtanzania popote pale duniani na ni la kisasa pia
View attachment 2366772
Ukichunguza mavazi ya taifa yote sio original, yaliigwa yakawa customizedDuh...!. Hiyo si ni suti ya kizungu!. Yaani vazi la wazungu ndio tulifanye vazi letu la taifa!.
P
Kwahio vazi liwe tai au?Wakuu kama mnavyojua kuna mchakato wa kutafuta vazi la taifa huko na kuna kamati zimeundwa, hizi zote zitakula muda na fedha
Nashauri vazi la taia liwe hili kwani linamtambulisha mtanzania popote pale duniani na ni la kisasa pia
View attachment 2366772
NdioKwahio vazi liwe tai au?
Mbona yote ni stail kutoka kutoka kwa wazungu,kasoro tai.
Pato la taifa ni shida unatala vazi la taifa?Wakuu kama mnavyojua kuna mchakato wa kutafuta vazi la taifa huko na kuna kamati zimeundwa, hizi zote zitakula muda na fedha
Nashauri vazi la taia liwe hili kwani linamtambulisha mtanzania popote pale duniani na ni la kisasa pia
View attachment 2366772
Kwanza hata ukivaa huwa haupendeziUsitupangie cha kuvaa sisi ni jamii huru.