Nashauri idara ya sekondari irudishwe Wizara ya Elimu na Mafunzo

ligendayika

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
1,183
Reaction score
198
Nimekua nafuatilia mwenendo wa shule hizi za sekondari hasa za kata utendaji wake si mzuri kwakuwa maamuzi mengi hutegemea utashi wa madiwani na watendaji wa vijiji au kata. Nashauri idara hii irudi Wizara ya Elimu. Nawasilisha tuchangie
 
serikali hii haiwezi kula matapishi yake
.Kama kuna diwani anazingua wewe muongeleshe umombo tu yy mwenyewe atakula kona
 
hilo ndo tatizo la walimu wa sekondari wengi, roho zao hazijakubali kuwa Tamisemi. Kwani madiwani wana matatizo gani?
 
Nimekua nafuatilia mwenendo wa shule hizi za sekondari hasa za kata utendaji wake si mzuri kwakuwa maamuzi mengi hutegemea utashi wa madiwani na watendaji wa vijiji au kata. Nashauri idara hii irudi Wizara ya Elimu. Nawasilisha tuchangie

Kwa sasa Elimu inarudi nyuma cos nani msemaji mkuu kati ya TAMISEMI na WIZARA YA ELIMU, juzi Mzee wa muungano wa ZNZ na Zibwabwe union katoa order hapa Galanos TA ya kipuuzi huku DC naye anatoa order zake. Bora kubaki ktk wizara moja.
 
hilo ndo tatizo la walimu wa sekondari wengi, roho zao hazijakubali kuwa Tamisemi. Kwani madiwani wana matatizo gani?

mkuu kiutendaji huko tamisemi kuna ukilitimba wa utendaji ebu fikilia diwani anamtaka Headmaster anaeweza kumtawala kwa maslahi yake. pia fahamu mambo yote yanafanyika tamisemi ya maendeleo je lipi limekamilika na Elimu yetu amini haitakamilika kamwe.
 
Na hata ajira za walimu suala la post ikiwezekana libaki wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kama pale mwanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…