ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
Nimekua nafuatilia mwenendo wa shule hizi za sekondari hasa za kata utendaji wake si mzuri kwakuwa maamuzi mengi hutegemea utashi wa madiwani na watendaji wa vijiji au kata. Nashauri idara hii irudi Wizara ya Elimu. Nawasilisha tuchangie