MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Waasi Kaskazini mwa Msumbiji bado wapo. Na majeshi kutoka kwa Mkwavinyika yanaendelea na opHao RDF ndiyo walienda Kuwamaliza kabisa Magaidi na Waasi wa kule Msumbiji wakati Wanajeshi wa Jeshi lako ( nisilolijua ) wakiishia tu Kuvunjwa Miguu, kutolewa Utumbo, Bandama, Kolomero na hata Kuuwawa huku Maiti zao zikiletwa na Chopper na Kuzikwa Kisirisiri.