MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Waasi Kaskazini mwa Msumbiji bado wapo. Na majeshi kutoka kwa Mkwavinyika yanaendelea na opHao RDF ndiyo walienda Kuwamaliza kabisa Magaidi na Waasi wa kule Msumbiji wakati Wanajeshi wa Jeshi lako ( nisilolijua ) wakiishia tu Kuvunjwa Miguu, kutolewa Utumbo, Bandama, Kolomero na hata Kuuwawa huku Maiti zao zikiletwa na Chopper na Kuzikwa Kisirisiri.
Popoma akili kisoda anapogeuka kuwa mpima akili za watu.Jeshi Bora EAC nzima / yote ukilikataa na kulibishia hili basi huna Akili, siyo Mchunguzi wa Mambo ( Masuala Mtambuka ) na hupaswi kuwa Great Thinker hapa Jamiiforums.
huo upumbavu na umaskini wa kwako nani kakusababishia? We si ndio yule fala uliyetandikwa na wajeshi pale Kawe ukaja kulialia humu? Huwezi kusema lolote zuri kuhusu wanajeshi wetu.Huko kula Kwangu BAN kila Kukicha kunapunguza Upumbavu na Umasikini wako uliokukomaa?
Hili jamaa GENTAMYCINE linajionaga linajua sana kumbe zinga la Popoma. Katika wapumbavu na wajinga wanaoiabisha JF huyu jamaa anaongoza. Halafu shida zaid hajijui kua hajui.Popoma akili kisoda anapogeuka kuwa mpima akili za watu.
Huna akili utawezaje kuwa kupimo cha wenye akili!?
Wahi milembe
Wew, hao magaidi walianzia Kibiti, wakafinywa vya kutosha ndo wakakimbilia huko msumbiji,Sasa kama hujui kuwa Jeshi la Rwanda na Rais Kagame walipewa Shukran na Msumbiji na hata AU na SADC kwa Kupambana vyema na Kuwakabili Magaidi hatari waliokuwa Wakisumbu huko Misituni Msumbiji si nitakuwa napoteza tu muda wangu Kujibizana nawe?
Anajulia wapi huyu popoma hakuna ajualo. Anachowaza au kuweza yeye ni kujisifia muda wote.Wew, hao magaidi walianzia Kibiti, wakafinywa vya kutosha ndo wakakimbilia huko msumbiji,
So ulitaka JW waende msumbiji?
Africa hamna Jeshi lina kitu kinaitwa ubora. Acha kujidanganya. Tafuta visa uende show za majeshi kwenye nchi zilizoendelea halafu utagundua unasifia sungusungu tu.50% wawe ni Wanajeshi wa Rwanda
40% wawe ni Wanajeshi wa Uganda
4% wawe ni Wanajeshi wa Kenya
3% wawe ni Wanajeshi wa Tanzania
1.5% wawe ni Wanajeshi wa Burundi
1% wawe ni Wanajeshi wa Congo DR
0.5% wawe ni Wanajeshi wa Sudan Kusini
Liwe hivi hivi kama ambavyo GENTAMYCINE nimepanga kwani hata Ubora wa Majeshi wa EAC kwa Uchunguzi na Uzoefu wangu tukuka na wa Kiubobezi uko hivyo hivyo ukibisha / ukinibishia katika hili basi jua ya huna Akili kabisa.
Haya wa Arusha mlizingatie mno hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna post moja ya Dabil ulii Like aliposema anataka BAN yangu iwe ya PERMANENT sasa inakuwaje tena umepata hadi muda wa Kuchangia katika huu Uzi wangu? Mnafiki mkubwa Wewe.
Haya muite huyo Dabil na Mwenzake Charles kilian waliotaka BAN yangu niliyopewa isiishe ( yaani nisifunguliwe tena ) kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" GENTAMYCINE nimerudi.
Kudadadeki zenu....!!
Pumbavu mwenyewe,Kuna Mtu kakuzuia nawe Kujisifia huko?
Pumbavu.