Kakiweka brichi katakuwa kama betri ya DuracellKalivyo kanene kafupi kakivaa jezi nyekundu Kwa mbali unamuona kama kibanda Cha Mpesa akisogea karibu ndio unamuona kumbe ni mtungi wa gesi wa oryx....
aombe mkopo afu aende wapi sasa wakati walau hapo simba anakula mpunga. huyo mpira sijui waarabu wamemfanya nini huko. alikuwa hatari mno, alivyoenda kwa waarabu tu...kwishaaa.Nashauri uongozi wa mchezaji Luís Miquissone Uuombe uongozi Wa Simba Umtoe mchezahi huyo kwa mkopo kwa timu zisizo na presha.
mfano Namungo,Singida FG,Kmc na Nyinginezo zinazoweza kumpa dk nyingi Uwanjani ajitafute mpaka Mwisho wa Msimu
Kwa presha ya matokeo na Mwenendo wa Timu ya Simba Sc kwa Sasa ni Ngumu sana kwa mchezaji huyo kurudi hata kwenye nusu ya ubora wake aliokua na hapo awali kabla hatimkia Al Ahly
NB: Simba Sc Kushiriki Club Bingwa Dunia ni Swala la mda tu..View attachment 2853354