Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
Nashauri uongozi wa mchezaji Luís Miquissone Uuombe uongozi Wa Simba Umtoe mchezahi huyo kwa mkopo kwa timu zisizo na presha.
mfano Namungo,Singida FG,Kmc na Nyinginezo zinazoweza kumpa dk nyingi Uwanjani ajitafute mpaka Mwisho wa Msimu
Kwa presha ya matokeo na Mwenendo wa Timu ya Simba Sc kwa Sasa ni Ngumu sana kwa mchezaji huyo kurudi hata kwenye nusu ya ubora wake aliokua na hapo awali kabla hatimkia Al Ahly
NB: Simba Sc Kushiriki Club Bingwa Dunia ni Swala la mda tu..
mfano Namungo,Singida FG,Kmc na Nyinginezo zinazoweza kumpa dk nyingi Uwanjani ajitafute mpaka Mwisho wa Msimu
Kwa presha ya matokeo na Mwenendo wa Timu ya Simba Sc kwa Sasa ni Ngumu sana kwa mchezaji huyo kurudi hata kwenye nusu ya ubora wake aliokua na hapo awali kabla hatimkia Al Ahly
NB: Simba Sc Kushiriki Club Bingwa Dunia ni Swala la mda tu..