princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,195
- 2,056
Ndo huyo kwenye avatar ya mleta uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia kwenye avatar ya mleta uzi ndo huyoWeka picha tumjue vizuri.
Hongera Becky [emoji7][emoji7][emoji7]
Jamaa uliwaza kama mimi yani kichwani nilikuwa najenga picha hiyo na weusi pia alafu awe kapanda hewani iviKumbe ile sauti inatoka sehemu sahihi[emoji28]
Ila nilikuwa na wasifu wangu kichwani,kwamba atakuwa kibonge kiasi,mweusi mrefu.
Approved by the BoardWakupewa tuzo ni WAMBURA MTAANI huyu bwana ni kiboko
Kuna kipindi chake cha usiku anapiga rhumba ya kongo na dansi ya tz
Huwa tunagombana na mama watoto iyo siku
Fred War bangi sana pusha wake alikuwa Deokaji Makomba(ze simple man)Rahabu Fred nilikuwa namwelewa sn kwenye kipind cha Searchline!! Yule mama ana busara sn..mume wake sasa...FREDWAAA[emoji23]
Huyo mtoto wa kwenye picha ya pili hapo, nina mfahamu kbs, anaitwa Edinetha, n mtoto wa babangu mdogo aliyezaliwa baada ya yeye kutembea na mfanyakazi wetu.Tangu zaman sn tukimuulza mtoto yuko wapi anasema yupo kwa mama ake, kumbe walimtupa..?? naandika haya huku machoz yakinilenga roho inaniuma sana.Sijui nampataje tu, wadau nisaidieni.Kweli anafaaaa[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 963246View attachment 963247View attachment 963248View attachment 963249View attachment 963250