Nashauri kamati ya kumshauri Rais kuhusu chanjo ifuatilie hili pia

Nashauri kamati ya kumshauri Rais kuhusu chanjo ifuatilie hili pia

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Natambua kuwa Kamati tajwa imepewa hadidu za rejea kadhaa ili kumashauri Rais kuhusu msimamo wa kupokea kukubali chanjo ya Corona au la.

Ni wazi kuwa Kamati imepewa maswali na hadidu za rejea kadhaa kuhusu ugonjwa huu. Napenda niwaongezee jambo muhimu la kufuatilia japo linaweza kuwa nje ya uwigo wa kazi yao lakini kwa umuhimu wa kamati hiyo ni vyema wakaliangalia na kulitolea maoni.

Je ni namna gani vituo binafsi au vya mashirika ya dini vilivyohandle suala la corona?

Je, ni faida kiasi gani walipata kwa kuhudumia wagonjwa wa corona ikiwemo ufanyaji wa vipimo ma matibabu?

Je, walitibu wateja wangapi waliohisiwa kuwa na corona na walipima wangapi?

Naongezea swali hili kwa kuwa najua zipo baadhi ya hospitali ziligeuza mtaji wa faida kubwa katika kugundua na kutibu corona.
Najua zipo baadhi ya hospitali au famasi zilizoingiza nchini dawa na chanjo ya corona kimya kimya na zimepiga hela nzuri
 
Idadi ukijua itakusaidia nini wewe? Zaidi ya kutimiza masharti ya watoa misaada?.hofu haipo sababu haitangazwi tena.kama unataka statistics za corona nenda wizara ya afya watakupa,siyo kutaka kutuletea taharuki.
kwani wanaotangaza idadi imewasaidi kuikomesha corona?
Mwaka na ushehe wako lockdown.
 
Naongezea swali hili kwa kuwa najua zipo baadhi ya hospitali ziligeuza mtaji wa faida kubwa katika kugundua na kutibu corona.
Najua zipo baadhi ya hospitali au famasi zilizoingiza nchini dawa na chanjo ya corona kimya kimya na zimepiga hela nzuri
Mnapenda sana fitna na kuchongeana ziacheni Famasi zitoe huduma Ujamaa na Ukoministi wenu umeshapitwa na wakati ndugu.
 
Huyu mama anaharibu nchi jamani wanaoweza kumfikia na kumpa ushauri aache hizi mambo yan naona nchi inaenda shimoni
 
Mnapenda sana fitna na kuchongeana ziacheni Famasi zitoe huduma Ujamaa na Ukoministi wenu umeshapitwa na wakati ndugu.
Famasi zitoe huduma kwa mujibu wa sheria na sio zigeuzwe kuwa sehemu za matibabu
 
Natambua kuwa Kamati tajwa imepewa hadidu za rejea kadhaa ili kumashauri Rais kuhusu msimamo wa kupokea kukubali chanjo ya Corona au la.

Ni wazi kuwa Kamati imepewa maswali na hadidu za rejea kadhaa kuhusu ugonjwa huu. Napenda niwaongezee jambo muhimu la kufuatilia japo linaweza kuwa nje ya uwigo wa kazi yao lakini kwa umuhimu wa kamati hiyo ni vyema wakaliangalia na kulitolea maoni.

Je ni namna gani vituo binafsi au vya mashirika ya dini vilivyohandle suala la corona?

Je, ni faida kiasi gani walipata kwa kuhudumia wagonjwa wa corona ikiwemo ufanyaji wa vipimo ma matibabu?

Je, walitibu wateja wangapi waliohisiwa kuwa na corona na walipima wangapi?

Naongezea swali hili kwa kuwa najua zipo baadhi ya hospitali ziligeuza mtaji wa faida kubwa katika kugundua na kutibu corona.
Najua zipo baadhi ya hospitali au famasi zilizoingiza nchini dawa na chanjo ya corona kimya kimya na zimepiga hela nzuri

Tume aliyounda mama ni ya wataalamu wabobezi kweli kweli ya kuishauri serikali kuhusiana na gonjwa hili. Ushauri wao tayari mama anaendelea kuupata na kuufanyia kazi, kazi inapoendelea.

Kwa hakika tume hiyo haihitaji michango ya ma layman kama hii ya mleta mada.

"Labda ili mchango wake uweze kuwa na tija, anaonaje mama ashauriwe pia kuunda tume ya 'ma layman' itakayo sheheni mamburula kweli kweli kwa ushauri kama wake?"
 
Famasi zitoe huduma kwa mujibu wa sheria na sio zigeuzwe kuwa sehemu za matibabu
Nyinyi mnafuata Sheria?Katiba na Covid 19 wa Ndugai kubambikia Watu Kesi kupiga Watu Magerezani kama nyinyi hameshimu Sheria na sisi vilevile Daadeki
 
Huyu mama anaharibu nchi jamani wanaoweza kumfikia na kumpa ushauri aache hizi mambo yan naona nchi inaenda shimoni
Anaharibuje??? Nyie wapuuzi wa chato tumeshawaambia rudini kwenu Burundi. Nchi inaongozwa kwa akili saivi sio kwa upuuzi na ujinga wenu
 
Nyinyi mnafuata Sheria?Katiba na Covid 19 wa Ndugai kubambikia Watu Kesi kupiga Watu Magerezani kama nyinyi hameshimu Sheria na sisi vilevile Daadeki
Una ndugu yako wa damu aliyewahi kupigwa au kubambikiziwa kesi?
 
Back
Top Bottom