Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Habari Tanzania !
Napenda kutoa wazo kwa Serikali kuhusu kuzilinda afya za abiria wa masafa marefu ikiwapendaza iwekwe amri kwa kuyataka Mabasi yote yanayofanya safari za masafa marefu yawe na mtaalamu aidha 1 au 2 kwa kila gari kwa ajili ya huduma ndogo ya afya.
Hii itachochea kulindwa kwa afya za abiria, dereva na wasaidizi wake panapotokea changamoto katikati ya safari au hata kivyovyote kati hali yoyote pawepo msaada wa kiafya.
1. Kila basi la abiria liamuliwe liwe na "Huduma ndogo ya matibabu kwa abiria, dereva na wasaidizi wake"
2. Pawe na vifaa vya huduma na madawa kwa ajili ya huduma ya kwanza kwa kila basi.
3. Pawe na utoaji elimu kuhusu afya wakati wa safari.
NB
Hii iende sambamba na usafiri mwingine mfano, Ndege za abiria, meli au vivuko vya majini.
Karibuni.
Napenda kutoa wazo kwa Serikali kuhusu kuzilinda afya za abiria wa masafa marefu ikiwapendaza iwekwe amri kwa kuyataka Mabasi yote yanayofanya safari za masafa marefu yawe na mtaalamu aidha 1 au 2 kwa kila gari kwa ajili ya huduma ndogo ya afya.
Hii itachochea kulindwa kwa afya za abiria, dereva na wasaidizi wake panapotokea changamoto katikati ya safari au hata kivyovyote kati hali yoyote pawepo msaada wa kiafya.
1. Kila basi la abiria liamuliwe liwe na "Huduma ndogo ya matibabu kwa abiria, dereva na wasaidizi wake"
2. Pawe na vifaa vya huduma na madawa kwa ajili ya huduma ya kwanza kwa kila basi.
3. Pawe na utoaji elimu kuhusu afya wakati wa safari.
NB
Hii iende sambamba na usafiri mwingine mfano, Ndege za abiria, meli au vivuko vya majini.
Karibuni.