Nashauri kila basi la masafa marefu liwe na mtaalam wa afya

Nashauri kila basi la masafa marefu liwe na mtaalam wa afya

Huduma ya kwanza ipo na kibox cha huduma ya kwanza chene dawa na zana nyingne zipo kama wameacha kuweka wamejiamulia tuu.
Hili swala lilikuwepo na lilikuwa moto sana miaka ya 2010 na mtu kama ukikutwa unaendesha basi na huna kibox cha huduma ya kwanza na vifaa vyake basi we ulikuwa halali wa wasimamizi wa sheria.

ELimu pia ilikuwa inatolewa kwa madereva ila kwasasa sijaona au kusikia.

Wazo zuri mkuu
 
Kinachohitajika hapo ni sanduku la huduma ya kwanza.. Kusafiri na mtaalam wa afya ni jambo lisilowezekana kwakuwa hata ikitokea dharura hataweza kufanya kazi yake kwa ufanisi kwa ukosefu wa vifaa
Je, hawezi kuwa na ABC za kukusaidia ukipata changamoto wakati wa safari?
 
Lakm, kwa uelewa wangu wa darasa LA 3c naona Tz kuna vyuo vingi sana vya afya na wahitimu kuanzia ngazi ya cheti wapo wengi sana kulinganisha. Na idadi ya mabasi ya Masafa marefu
Utawalipa nini hao watu, unataka kuongeza matumizi ya serikali kwa vitu visivyo na msingi
 
Back
Top Bottom